Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,710
- 2,951
Naunga mkono hoja.Shida ndio iko hapo!
Hata wanaopigwa stroke wengi hawatumii kilevi. Wamebeba matatizo mengi sana
Jaribu hata leo piga safari mbili baridii you will be good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Shida ndio iko hapo!
Hata wanaopigwa stroke wengi hawatumii kilevi. Wamebeba matatizo mengi sana
Jaribu hata leo piga safari mbili baridii you will be good
Pole sana Ndg.. jitahidi kama ni mkristo kuhudhuria Ibada na kuwa mtu wa sala. Itakusaidia, jitahd pia kujichanganya na watu ukikaa peke yako basi ni wakati wa kulala. Hapo utayaepuka mabaya mengi na uovu mwingi.Wakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai tuu...
Upumzike kwa amani. Na pole sana kwa changamoto ulizopitia. Na kama inafikiri wewe ndiyo mtu wa kwanza, basi utakuwa umekosea. Wapo wenzako kibao wamepitia magimu mengi, na bado wamefanikiwa kuyashinda.Nipumzike sasa...
Nashukuru kwa yote. Huwenda kila kitu kina sababu.
Pole sanaSio wanaoenda jela wote wana hatia..wengine hutafutiwa matukio
Wakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai tuu...
Unahitaji kuzibuliwa makofi wewe u-restartWakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai tuu...
Hapana hatujui yaliyo msibu. Ushauri huu unaweza kupata nguvu za ushawishi wa kiroho akajiua kweli halafu ukapata lawama ya nafsi. Kama hatuna Cha kuandika ni heri kuacha. Huu si ushauri mzuri. Nakumbuka kuna jamaa tulikuwa naye humu alijinyonga.Jiue. Huna faida yoyote
Daah nimecheka kipuuzi mkuu,,Unahitaji kuzibuliwa makofi wewe u-restart
Mda mwingine humu duniani wala hakuna shida kubwa kihivyo , nilivile tu akili zetu zinavyochukulia mambo na kujilinganisha.Nimefurahi kukuona
Usimtangulize mwenzio!Upumzike kwa amani. Na pole sana kwa changamoto ulizopitia. Na kama inafikiri wewe ndiyo mtu wa kwanza, basi utakuwa umekosea. Wapo wenzako kibao wamepitia magimu mengi, na bado wamefanikiwa kuyashinda.
Wakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai
Kuto-ombewa kupo bro tuliza wenge....Mambo ya dunia hi.
Binaadamu wabaya sana mkuu.
Wabaya mno
Mambo ni mbaya mkuu wangu Dunia mambo ni mbaya aseeWakuu nimechoka toka jana sijalala...
Nahisi kuchanganyikiwa...
Nahisi maluwe luwe .
Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu...
Nimechoka sasa nimechoka.
Kama mbwai iwe mbwai tuu...
Katoa uzi jana tu kuna kizee kimemtmbea, ndo bado ana wenge hilo.....Mzee! Aliyekwambia stress zote ni sababu ya mapenzi ni nani?
Kwa maandishi yake, huyu michongo inamgomea
📌kujilinganisha.
Ipo siku nitakuja kutoa story yangu humu ya mambo niliyopitia ,naona vijana wana mapito madogo tu lakini wanataka kujiua😊
Kaka anza kuandika kabisa utakuja tu kupaste humu, nitakua siti ya kwanza na kitambaa changu cha kufuta machozi🤸Ipo siku nitakuja kutoa story yangu humu ya mambo niliyopitia ,naona vijana wana mapito madogo tu lakini wanataka kujiua😊