The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Huwezi kuishi bila kujipa standard mkuu.Mda mwingine humu duniani wala hakuna shida kubwa kihivyo , nilivile tu akili zetu zinavyochukulia mambo na kujilinganisha.
Machozi yatakububujika aiseeKaka anza kuandika kabisa utakuja tu kupaste humu, nitakua siti ya kwanza na kitambaa changu cha kufuta machoziπ€Έ
Ila standard iendane na uwezo na mazingara mkuu.Huwezi kuishi bila kujipa standard mkuu.
Sawa, kuna mda wewe hauchagui maisha ya kuishi ila maisha yanakuchagua wewe.Kaka anza kuandika kabisa utakuja tu kupaste humu, nitakua siti ya kwanza na kitambaa changu cha kufuta machoziπ€Έ
Isipoendana na uwezo/mazingira ndio tunakutana na visa vya namna hii. Ukiona classmates nk wanaishi maisha mazuri wakati wewe haujafika popote ni lazima kichwa kiwake moto. Shida ipo hapo...Ila standard iendane na uwezo na mazingara mkuu.
ππ kama washauri ndio nyie Acha tu mdau akajiueπKunywa mchanganyiko wa Arovera mbichi na tangawizi glass moja wenge lote linakata unabakia kusikilizia uchungu wa sharubati...
Tunamchangamsha kidogo... π π π unajua unaweza kuwa na stress ila kupitia comments zingine ukajikuta unacheka tuu na hasira zikakuishia...ππ kama washauri ndio nyie Acha tu mdau akajiueπ
Sure mkuu ,safi sana apo unatumia njia inayoitwa Gelotology.Tunamchangamsha kidogo... π π π unajua unaweza kuwa na stress ila kupitia comments zingine ukajikuta unacheka tuu na hasira zikakuishia...
Zile comment za kumpa moyo..sijui kumpa pole zinaleta simanzi kichizi bora umpe comment ngumu ngumu aamue mwenyewe kumeza au kutema...
Uko wapi mama mdogo mana mm mwenyewe hilo skanka nalitakaUnawaza kwa sauti au unatuambia?
Uko wapi nikupe Skanka kwanza utulize wenge utuelekeze vizuri .
Ah! huyo hajielewi tuu. Kwani huyo aliyempiga tukio ameondoka nayo? Si amembakishia iko mahali pake pale pale tena kwa usalama?Ana uzi wake mwingine una trend wa kutulaumu na kutulalamikia sisi wazee kwa kumchukulia mpenzi wake. Ndiyo maana nimempa ushauri wa kumtafuta wa kufanana naye.
Huyo aliyempiga tukio, atuachie sisi wazee wenye pesa za kumtunza na kumpetipeti.