Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Nunua matiikiti maji🍉 yasiyopungua sita kila siku kwa muda wa wiki moja, kisha yahifadhi kwenye jokofu kwa muda usiopungua masaa sita🕕. Kila unaposikia maumivu piga tikiti maji moja huku ukijipiga kifuani na kusema mimi ni ng'ombe🐄....baada ya wiki moja🗓️ maumivu yatakuwa yamekwisha✅
 
Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona!
Mh,watu wengine hawakukuona,hawakuhisi kama mwizi au kibaka coz imekaa kimaigizo zaidi.Au ulitumia taaluma yako ya ulinzi??


Vipi ndiye huyu??

 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Pole sana kijana, sasa hukumbuki is umesema ulivyoyumba kiuchumi alikusapoti 😄 sasa nan kakwambia hela ya mwanamke inaliwa kirahis pasi kujua undani 😄 alkua anakuzuga na kwanini umchunguze bata wakat unajua unamla polee
 
Nunua matiikiti maji🍉 yasiyopungua sita kila siku, yahifadhi kwenye jokofu kwa muda usiopungua masaa sita🕕. Kisha kila unaposikia maumivu piga tikiti maji moja huku ukijipiga kifuani na kusema mimi ni ng'ombe🐄....baada ya wiki moja🗓️ maumivu yatakuwa yamekwisha✅
Common sense is not common! Shukuru ulizaliwa kama ng'ombe!
 
simu nilinunua mimi. Naamini huyo mpya atanunua tena nyingine
Sasa kijana,ungesamehe tu mbona watu hutoa zaidi ya hayo na wakigundua wanasonga mbele bila longolongo na mtu...

Pole sana,ndio ukubwa huo na muda mwingine utajirekebisha kwa kufanya mambo kwa kiasi ili ukiumia usirushe makofi na kuvunja ununuavyo/kumpatia

Maumivu huja baada ya kupiga hesabu hasara mlizopoteza ikiwa mlikuwa mnafanya vitu kwa kutegemea kulipwa or kununua furaha kwa warembo wenu..fanya bila kutegemea chochote
 
unaweza kuwa sahihi mkuu maana tunatofautiana sana kwenye ku-handle emotions.
Naomba ujifunze kitu kabla hujaua mtu:
1. Mapenzi ni mkataba wa hiari wa kukutanisha viungo vyenu...dhamana yake ni UAMINIFU

2. Mmoja wenu akikiuka hili sharti la uaminifu...vunjeni mkataba ijiwezekana kwa amani.

3. Mwanamke ambaye hakai kwako yaani hujanuoa huwa ana wanaume sio chini ya 3-5 ambao amewa target wamuoe, yule mwenye dau kubwa hupewa nafasi ya 1...( japo sio wote lkn ni 90%)

4. Kwa 75% mke ni wa kwako akiwa kwako...nimeweka 75 kwasababu wako wengi wako ndoani lakini ni mali ya jamii.

ZINGATIA....kamwe huwezi kumiliki mwananke 100% kwa kigezo cha girl friend au mchumba....utakufa siku sio zako
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Kwanini umei umiza simu ambayo maskini wa Mungu haina makosa yoyote? Yaani mpaka umeipigiza chini ikavunjika? Pata picha ungekuwa ndio wewe simu, yaani umeuawa kwa makosa ya watu wazima wawili? Very stupid of you two.
 
Sasa kama mapenzi yamefika mwisho umempiga wa nini na simu umevunja ya nini.?

Mnatafutaga kwenda jela tu bila hata sababu
Najutia hilo la kumpiga ila simu kuvunja ilikuwa halali kwangu. Ni emotions tu na naamini sitafanya hivyo tena. She accepted my apology!
 
Back
Top Bottom