uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Sina nilichompunguzia yeye ila mi nakuwa nimeshaondoa shauku yangu so akitaka kuondoka namuongezea nauli kidogoUkimvua unakuwa umempunguzia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina nilichompunguzia yeye ila mi nakuwa nimeshaondoa shauku yangu so akitaka kuondoka namuongezea nauli kidogoUkimvua unakuwa umempunguzia nini?
asante sana. Nakiri kwamba sitarudia tenaSasa kijana,ungesamehe tu mbona watu hutoa zaidi ya hayo na wakigundua wanasonga mbele bila longolongo na mtu...
Pole sana,ndio ukubwa huo na muda mwingine utajirekebisha kwa kufanya mambo kwa kiasi ili ukiumia usirushe makofi na kuvunja ununuavyo/kumpatia
Maumivu huja baada ya kupiga hesabu hasara mlizopoteza ikiwa mlikuwa mnafanya vitu kwa kutegemea kulipwa or kununua furaha kwa warembo wenu..fanya bila kutegemea chochote
Mwambie kabisa visenti vikikata atakimbiwa tena. Maana visenti huja na kuondoka au kupunguaJibu Ndio Hilo Mkuu. Mwanamke ni chombo cha starehe Ukijipata Watakuja wa kila sample ilimradi mfuko uwe na visenti
SitRUDI NYUMAUmechukua maamuzi sahihi kabisa, usije msamehe huyo mwanamke. Ukimsamehe kwa kigezo cha kumpenda tegemea kuja kupigwa na kitu kizito zaidi.
sawa kabisa
Safi kabisa,karibu ukubwaniasante sana. Nakiri kwamba sitarudia tena
Asante sana,,,Dogo tumepita hapo ulipo tukajidai kuvumiliwa tukaja kusalitiwa tukiwa na watoto 4 na miaka 50, shukuru sana hapo ulipo, mapenzi sijui BLA BLA kwa miaka hii ni shida tupu!
Asante sana,,,nashughulika na maumivu yaondoke nibaki na amaniSafi kabisa,karibu ukubwani
Mambo hayo kila binadamu hupitia.
Thanks Folk,,,Have my name written!Welcome onboard.
kwani huko ndoani hamruhusiwi kushea simu?Kama uchumba tu umeanza kumpekua pekua simu, hivi ndoa utaiweza kweli!?
Kwahiyo mmeendelea na penzi lenu?Najutia hilo la kumpiga ila simu kuvunja ilikuwa halali kwangu. Ni emotions tu na naamini sitafanya hivyo tena. She accepted my apology!
kwani huko ndoani hamruhusiwi kushea simu?
asante sana,,,nitajikita kwenye hiliDogo hemu focus kwenye mishe na utafutaji, Hakuna la maana upande huu tuliopo!
ahahaha,,,,Mwanaumee unapendajeeee??
Mwanaume umeumbwa kutamani na baada ya kupata ulichokitamani ,unatakiwa upite hv ...
Jingaa wewee na utakuwa ww n CCM c bure...
😄 🤣 😂 Dating isn't real bro!!!Habarini ndugu zangu?
Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.
Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Pole ndugu yangu.Hasira zimechangiwa pia na huo msoto wa kiuchumi unaopitia.Huwa hatufanyi hivyo wanaume.Hiyo siyo sifa ya mwanaume anayejiamini.Kwanini usingemuacha kwa siri kama alivyotaka kufanya Yusufu wa biblia kwa mariamu baada ya kugundua ana mimba.Umejiumiza moyo bure.nilidhani ungemshukuru Mungu kukuonyesha hayo uliyoyaona kwa sababu amekuepusha na mengine. Ila pia umri wako linaweza kuwa tatizo jingineHabarini ndugu zangu?
Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.
Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!