Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Nahisi maumivu baada ya kugundua viashiria vya Usaliti

Pole ndugu yangu.Hasira zimechangiwa pia na huo msoto wa kiuchumi unaopitia.Huwa hatufanyi hivyo wanaume.Hiyo siyo sifa ya mwanaume anayejiamini.Kwanini usingemuacha kwa siri kama alivyotaka kufanya Yusufu wa biblia kwa mariamu baada ya kugundua ana mimba.Umejiumiza moyo bure.nilidhani ungemshukuru Mungu kukuonyesha hayo uliyoyaona kwa sababu amekuepusha na mengine. Ila pia umri wako linaweza kuwa tatizo jingine
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri. Nakiri nilifanya makosa. Sitarudia tena.
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Kwanza pole mkuu
Aah ulikua emoshonali(emotionally) 😁

👉Mosi, Wacha nikwambie ukweli msichana yoyote kuanzia 15-26 kitu anachotamani ni kuchezewa sio kutunzwa ilo tambua
👉Pili, Wekeza mda wako kwenye kuwa na vitega uchumi vingi ili akili yako iwe busy na kazi upunguze mda wa kuwaza mapenzi
👉Tafuta hobbies. Yan kunyandua iwe hobby date for fun
👉Usijipe umuhimu sana kwa mwanadamu yoyote bakiza kanafasi kidogo mtu yoyote hapa duniani "unaempenda ipo siku atakuumiza "


Mwisho Ebu nipe Namba yake🤣nikusaidie kumpiga makofi
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Wewe unadhani wakati unàpitia kipindi kigumu cha uchumi hiyo pesa ndogo ndogo aliyokuwa akikupa alikuwa anaitoa wapi? Alikuwa anaitoa kwa hao hao washikaji zake wengine tofauti na wewe.
 
kwani huko ndoani hamruhusiwi kushea simu?
Uko sahihi mkuu huwezi kuimiliki nyumba halafu ukawa na limitations za kufika baadhi ya vyumba. Unapokuwa na mke au mchumba ambaye huwezi kuwa na uhuru na baadhi ya vitu vyake hapo hakuna ulichooa au unachochumbia anazuia nisiwe na access na simu yake kuna nini anakificha hiyo haipo.
 
Uko sahihi mkuu huwezi kuimiliki nyumba halafu ukawa na limitations za kufika baadhi ya vyumba. Unapokuwa na mke au mchumba ambaye huwezi kuwa na uhuru na baadhi ya vitu vyake hapo hakuna ulichooa au unachochumbia anazuia nisiwe na access na simu yake kuna nini anakificha hiyo haipo.
Na hiki ndicho kinaleta ugomvi
 
Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Ulijua pesa anayokupa anatoa wapi?
Maisha kutegemeana mkuu,natoa huku napeleka kule
 
Kwa jiji la dar kupata mwanamke alietulia na mwanaumme 1 ni ngumuu sanaaa.
Labda uwe vizuri kiuchumi na hivyo uyo atakaetulia na ww umkute ni bikra vyenginevyo kugongewa hakukwepekii
 
Habarini ndugu zangu?

Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.

Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.

Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Huna pesa na unajihusisha na Mapenzi?
Utakuja kuua ufungwe jela utese wazazi wako mbw* wewe

Katafute hela sasa
 
Kizazi dhaifu, kioga, lilia kupenda slope
Ulijua hela unazopewa anatoa wapi.
Anayemuhudia mwenzake ndio mume, mume hapigwi.
Kwanini umempiga mumeo?
Nani atakutunza!?
wewe ni dhaifu sana
 
Back
Top Bottom