Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri. Nakiri nilifanya makosa. Sitarudia tena.Pole ndugu yangu.Hasira zimechangiwa pia na huo msoto wa kiuchumi unaopitia.Huwa hatufanyi hivyo wanaume.Hiyo siyo sifa ya mwanaume anayejiamini.Kwanini usingemuacha kwa siri kama alivyotaka kufanya Yusufu wa biblia kwa mariamu baada ya kugundua ana mimba.Umejiumiza moyo bure.nilidhani ungemshukuru Mungu kukuonyesha hayo uliyoyaona kwa sababu amekuepusha na mengine. Ila pia umri wako linaweza kuwa tatizo jingine
Umetisha kaka na huu uzi wakoHuu ni ujinga wa kiwango cha lami.
Unampigaje mwanamke ambaye sio mke wako?
Hata angekuwa mke akiwa msaliti muache kupigana ni dalili ya uzuzu.
Akauze mali yake nawe baki na tunguli zako au tafuta pengine pa kuzichomeka...basi
Asante sana mkuuPole sana mkuu
Apate na za kununua simu nyengine maana akishikwa masikio na wenzake lazima amtie polisi kwanza na kitakachofuata ni amlipe simu yake na hela za matibabu.Sawaa sasa nendaa katafute elaa
Kwanza pole mkuuHabarini ndugu zangu?
Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.
Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
Namshauri afanye hivyo!Apate na za kununua simu nyengine maana akishikwa masikio na wenzake lazima amtie polisi kwanza na kitakachofuata ni amlipe simu yake na hela za matibabu.
Mimi pia kakaNashukuru sana. Hapa najengwa upya. It's men who raise a man!
BP inapanda, Stroke mdomo kwenda upande kuwa mlemavu vitakuhusu siku mojakwani huko ndoani hamruhusiwi kushea simu?
Wewe unadhani wakati unàpitia kipindi kigumu cha uchumi hiyo pesa ndogo ndogo aliyokuwa akikupa alikuwa anaitoa wapi? Alikuwa anaitoa kwa hao hao washikaji zake wengine tofauti na wewe.Habarini ndugu zangu?
Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.
Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!
ahahahaBP inapanda, Stroke mdomo kwenda upande kuwa mlemavu vitakuhusu siku moja
Uko sahihi mkuu huwezi kuimiliki nyumba halafu ukawa na limitations za kufika baadhi ya vyumba. Unapokuwa na mke au mchumba ambaye huwezi kuwa na uhuru na baadhi ya vitu vyake hapo hakuna ulichooa au unachochumbia anazuia nisiwe na access na simu yake kuna nini anakificha hiyo haipo.kwani huko ndoani hamruhusiwi kushea simu?
Na hiki ndicho kinaleta ugomviUko sahihi mkuu huwezi kuimiliki nyumba halafu ukawa na limitations za kufika baadhi ya vyumba. Unapokuwa na mke au mchumba ambaye huwezi kuwa na uhuru na baadhi ya vitu vyake hapo hakuna ulichooa au unachochumbia anazuia nisiwe na access na simu yake kuna nini anakificha hiyo haipo.
Ulijua pesa anayokupa anatoa wapi?Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
ahahahaha...hapana kabisa. Kama huwezi, sema tu lakini sio huo uchafuUlijua pesa anayokupa anatoa wapi?
Maisha kutegemeana mkuu,natoa huku napeleka kule
Siyo lazima aseme, mwanaume aliyekamilika hapokei pesa ya mpenzi wake,yupo tayari afanye kazi hata zisizomweshimisha ili asimame kama mwanaume kwa mwanamke wake.....la sivyo kugongewa hakukwepekiahahahaha...hapana kabisa. Kama huwezi, sema tu lakini sio huo uchafu
Huna pesa na unajihusisha na Mapenzi?Habarini ndugu zangu?
Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwakaribu na mimi kwa msaada wa fedha ndogondogo hizi bila shida. Jumapili iliyopita aliniomba tuonane kwa mazungumzo na nikakubali maana imekuwa utaratibu wa kawaida tu kuonana na kuongea. Tumekuwa na kawaida ya kushea simu. Siku hiyo nimeomba simu yake kuitumia akakataa kabisa kwamba inaonekana kama simuamini. Nikaacha.
Majira ya jioni nikamsindikiza stendi kisha nikamuaga kuaondoka lakini baada ya kuachana nae, moyo ukanisukuma kurudi. Niliporudi, alikuwa bado kwenye foleni kupanda gari lakini alikuwa busy akiandika sms kwenye simu yake. Nikajisogeza taratibu nikakaa nyuma yake kwenye ile foleni. Daah! Nilichokiona! alikuwa akichati na jamaa ambae alikuwa anamshtumu kwa kutokufika gheto kama walivyokubaliana huku mchumba akiomba radhi kwmba amekuwa busy kazini na ndo anarejea nyumbani.
Kiukweli, sikuvumilia, palepale nilimdaka nikamtia makofi kisha nikaondoka. Ile taarifa amewaambia hadi nyumbani kwao na mama yake alinipigia nikaongea nae kuhusu hillo. Nilitaka kujiridhisha zaidi, nikamtembelea tena kazini kwake bila taarifa. Nikachukua tena simu yake na ninakuta huyo jamaa amesiviwa kwa jina la kike. Nimeivunja vunja hiyo simu na naamini mapenzi yamefika mwisho japo nahisi maumivu sana. Nilipmenda sana!