Nahisi mke wangu anachepuka

Nahisi mke wangu anachepuka

Nikamkuta anaangalia Tamthilia Kumwambia Abandike maji ya kuoga akajibu Staki kumuulza kwann Anasema ningemtaarif kabla sjafika home.
Afu sikuhiz mbona ni suala LA kawaida sana,mi nadhan tushauriane tu wadada tunapochepuka tusisahau majukumu yetu juu ya waume zetu,kama wao wafanyavyo wanachepuka na majukumu wanatimiza.Angebandika tu maji ya kuoga
to yeye tazama hayo maneno mekundu hapo, nahisi mleta mada hakutumia polite language, nilitarajia angesema naomba ubandike maji ya kuoga, huenda binti wa watu angeinuka, inaonekana mleta mada anatumia zaidi lugha ya kanda maalumu na huenda hiyo inamkwaza mwenzake.

Lakini pili unapofanya jambo ni busara kuacha akiba ya kesho, ati hata kama ni wewe, kila siku dakika 40+, sasa kesho hizo nguvu mwenzake atazitoa wapi?
 
Mwachee mtoto wa Endelea Kuuza BARAfu zako broo demu analiqa huku na huku Huyoo anakusikiliziaa weee anakuona Mchaga ulie chelewa!!!!
 
So umeshindwana na mmoja? Ndiyo umepata hitimisho?


Kamuulize mleta uzi kama mkewe ni mbena
Sijakuelewa
 
Afu sikuhiz mbona ni suala LA kawaida sana,mi nadhan tushauriane tu wadada tunapochepuka tusisahau majukumu yetu juu ya waume zetu,kama wao wafanyavyo wanachepuka na majukumu wanatimiza.Angebandika tu maji ya kuoga
Ugumu ndio huwa unaanzia hapa. Mwanamke akichepuka, anabadili direction ya tension yake kwa asilimia kadhaa, na kadri muda unavyokwenda anaweza badili kwa asilimia zote.
 
Kama maada inavyojieleza hapo juu, Nahisi wife anamegwa nje coz kuna mambo anayafanya humu ndani nahisi ipo hivyo.

Picha linaanza imefika stage kawa na kiburi nikimwambia kitu anaweza kukujibu staki ikiwa ni moja ya majukumu yake humu ndani so nashindwa kuelewa nini kinasababisha hadi awe hivi.

Kama jana nimefika home kama kawaida nimemkuta anaangalia tamthilia (Chizi Mapenzi, Star Swahili) nikamwambia anichemshie maji ya kuoga coz mimi ni muumini wa maji ya moto kutokana na hii kazi nnayoifanya mara nyingi nikirud Huwa nahis baridi sana na kulala bila kuoga siwezi, tuendelee na kibao.

Kumwambia anichemshie akakataa katukatu nikajiuliza huyu ana nini mbona yupo hivi ikiwa mchana aliniomba pesa kuna mazaga yake akanunue nilimpatia bila ubishi.

Mwanaume nikatoa sufuria nikawasha gesi nikainjika maji yalivyochemka nikaweka kwenye ndoo ili nikaoge cha ajabu ile namalzia kuoga huyuuu na yeye akataka kuoga sikumkatalia akaoga tukaingia ndani kula na msos ukalika bila tatzo.

>>> Inaendelea hapa

Nachemsha kwa miaka 12 sasa!
 
Acha kbs mzee baba ..mwambie mwanaume mwenzenu!...ila mostly ukiona mwanamke wako hatak sex na haumwi jua huna maajabu! Anaona michosho tu! Liwekeni hilo akilini! Mwanamume mjuzi hata kama uko period unajilaumu why niko period[emoji3062]
Comment imenisisimua, shikamoo dada[emoji23][emoji23]
 
Wewe chukulia poa ila yale maswala kila wakati anasema amechoka na kukupiga vidate ujue kuna anaemchosha huko nje. Tena anapewa mapigo ya uhakika ambayo huyawezi kiasi cha kuonekana wewe ni bonge la boya.
 
Back
Top Bottom