Nahisi mshawahi kumuona Nelson Ntombela Raia wa Afrika Kusini kwenye mitandao ya kijamii?

Nahisi mshawahi kumuona Nelson Ntombela Raia wa Afrika Kusini kwenye mitandao ya kijamii?

Huyu jamaa nae sura yake inatrend sana mitandaoni, natamani kumfahamu pia
FB_IMG_1607279478904.jpg
 
Huyu si ndo yule mwamba aliyekua akiuliza kama chama jr na miquissone watakuepo ?? ..
 
Huyu mnigeria alipigwa hela alizotumwa na wazazi wake kununua kitu
Inasemekana na wale jamaa wa karata tatu..
Alipoanza kulia ndo watu wakampiga picha zikaanza Ku trend..
Hahahaa, shukran mkuu
 
Back
Top Bottom