Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Ujinga ujinga tu. Vitu vya kipuuzi ndiyo watu wanapoteza mda kujadili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamsingizia, mbona haimaindi pochi ya mdada hapo kwenye siti! Au tayari kesha isachi ndiyo maana anacheeeka.Bila shaka umekutana sana na picha hii katika mitandao, mfahamu mhusika wa picha hiyo. Nelson ni mkazi wa Kagiso, Krugersdorp nje ya mji wa Johannesburg, amezaliwa April 6, 1987 akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba..
Angebaki jela huko huko akaendelea kuiba!!!View attachment 1676526sifa zote za ujambazi jamaa anazo. Angebaki tu huko jela.
Hahahaha yani huyo Jamaa picha yake imeingiziwa manenoo mpaka raha
Kama ilivyokua Kwa wale wabeba majeneza, piere liquid, etcHuyo wa muda wote mzee huyu aliyetrend kuanzia juzi ni trend ya muda tu
Haya maneno mnayoongezea kwenye picha zake mimi hoi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu jamaa nae sura yake inatrend sana mitandaoni, natamani kumfahamu piaView attachment 1676568
Mkuu kama unatumia kitochi huwezi kuelewa haya mamboYaani sijaambulia kitu maana sijui ni nani hadi iwe habari
Huyo ni mcheza movie wa huko kwa Madiba.Jamii forum ni kisima cha maarifa , ndiyo forum mtanzania anaweza pata taarifa za mambo meng anayohitaji Kwa lugha yake.... Huyu jamaa picha yake imetrend Sana hv karbuni kwenye social network ...napenda kumfahamu huyu mwamba ni Nani , inabd nimjue Tu mana kabeba kaption karbia Nyanja zote , kisiasa ,kimichezo , kielimu , kimapenzi , kihisia na hata kidini
View attachment 1677594
Angelikuwa mbongo angeshaanza Kula hela za matangazo kama Dr shika, full interview za akina Millard ayoHuyo ni mcheza movie wa huko kwa Madiba.
Nouma sanaUnajua kapaa siku mbil nyuma
Aiseee , mwambieni ameshatoboa huku bongo