Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Daaah jamaa ni legend na kachafua Hali ya hewa sio kitotoNgoja nimuelezee huyu jamaa, kisa chake kina ya kujifunza....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah jamaa ni legend na kachafua Hali ya hewa sio kitotoNgoja nimuelezee huyu jamaa, kisa chake kina ya kujifunza....
Asante....Ngoja nimuelezee huyu jamaa, kisa chake kina ya kujifunza...
Hao wote hamna kitu , jamaa picha na pozi lake Tu , hatari sanaJamaa kawapoteza ghafla hawa wana
Chikumbalaga
Zanzimana
Morrison
"Unalalamika kwanini tena?"Kwan nani kanipost huku tena?[emoji23][emoji23]
Ahaaa, hiyo nmeiona nkajua ana zaidi ya hiyoJamaa tuu amejirecod na demu wake akarushia lugha na meno imekuwa kama kituko fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndipo kwenye mada... swali hili halijajibiwaNini kimefanya A-trend?
Aiseee!!Ngoja nimuelezee huyu jamaa, kisa chake kina ya kujifunza...
Pozi lake na jinsi alivyokunja uso ameendana na caption nyingi almost zote na zilianzia kwenye issue ya kodi na ada.Nini kimefanya A-trend?
Nafkr gesture ya pozi lake kwenye pichaNini kimefanya A-trend?
Uyu ni mtanzania kakaHuyo ni mcheza movie wa huko kwa Madiba.
Daa!! bonge la handsome!
🤣Daa!! bonge la handsome!
AiseDaa!! bonge la handsome!