the_legend
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,611
- 7,063
Huyo zama zake zilishakwisha zamani tu.Huyu jamaa nae sura yake inatrend sana mitandaoni, natamani kumfahamu piaView attachment 1676568
Zamu yake ishapitaHuyu jamaa nae sura yake inatrend sana mitandaoni, natamani kumfahamu piaView attachment 1676568
Pozi zake hizo
Utasikia βkwani nelson ndio nani tena jamani?β
Huyu jamaa nae sura yake inatrend sana mitandaoni, natamani kumfahamu piaView attachment 1676568
Halafu nimeshaanza kuelewa kwanini katrend ππππππSchoo fees ya nini tena jamani na mimi najua nadaiwa ada tu?πππ
Hahahaa, shukran mkuuHuyu mnigeria alipigwa hela alizotumwa na wazazi wake kununua kitu
Inasemekana na wale jamaa wa karata tatu..
Alipoanza kulia ndo watu wakampiga picha zikaanza Ku trend..
Cheki hilo pozi na hiyo sura alivyoikunja dizain kama kuna kitu anashangaa hivi..na ndio hapo wajuba wakaona wa create meme tofauti.Halafu nimeshaanza kuelewa kwanini katrend ππππππ
Ni mwafrika anayejua kushangaa kuliki waafrika wote chini ya Jangwa la Sahara.Kwani huyo Nelson ni nani tena jamani
Ni Nelson mkuuKwani huyo Nelson ni nani tena jamani