Nahisi mshawahi kumuona Nelson Ntombela Raia wa Afrika Kusini kwenye mitandao ya kijamii?

Kwa hiyo ana umuhimu gani sasa kwetu?
 
Naona tyuuh ana trend social media, but sifahamu chochote kuhusu yeye.
 
Kaka yake na kicheko mtata mtangazaji wa radio klauzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan Tanzania unaweza ukawa maarufu kwa ujinga ujinga tu hv.... nilishangaa sana muujiza uliotokea kwa yule jamaa wanamwita Liquid mpk kaingia bungeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…