hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Mungu Ni mwema,tutavuka Kaka Uttoh[emoji4][emoji4]
Poa, nakuelewa. Siku njema, kila la heri.
Kwa uandishi huu huyo mumeo apewe tuzo.Mume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Na wewe mpinga ndoa?Mkiambiwa ndoa ni ukatili, ndoa ni jehanamu ya Punjabi,ndoa ni gereza hamsikii
#kataandoa
CC dronedrake
Mungu asaidie pia kaka uttoh amalize matatizo yake mwenyewe maana anataka ku_team na wewe ,
Soma KUTOKA 4:24_26 ,,,,utatambua nafasi Yako kwa Mumeo,,,Muokoe Mumeo mama,,,,
Ila kuishi na Mwanamke muda wote ni kazi,nyie mliooa mnawezaje?nikikaa nae wiki tu nishamchokaMume wangu aliponichoka.
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Kwani nimekuchelewesha sana?Aisee mimi sijawahi kuipinga ndoa.
Naitamani sana ila ndio hivyo naishia kuwa mpenzi mtazamaji.
Uttoh,uttoh,uttoh,,,,,,Wewe mbafiki unayehukumu kwamba nina matatizo na kuleta neno la Mungu, Kuna Kingine kifungu cha Biblia hiyo hiyo Kinachosema usihukumu. Peleka upumbavu wako huko.
Hata kesho🤣Kwani nimekuchelewesha sana?
Mahari ije lini?😂
Ooh mbona ulikuwa husemi?Hata kesho🤣
Ndio nimesema hapa kabla sijawa single mom☹️💔Ooh mbona ulikuwa husemi?
Mbona nagonga mlango kimya, unakula weekend wapi?Ndio nimesema hapa kabla sijawa single mom☹️💔
Hapo kwenye kuacha kazi ndipo ulipobugi step. Ulipaswa ufunguliwe biashara mbadala wa ile kazi iliyokuwa unaifanya.... Slowly.... Unapata uzoefu na biashara inakua mdogo mdogo.[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Duuh aiseesingle mom
Nakula weekend kwa bed. Usiku huuMbona nagonga mlango kimya, unakula weekend wapi?