Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Kwa uandishi huu huyo mumeo apewe tuzo.
Inaonyesha una mdomo mrefu dada, hebu chunguza huenda tatizo ni wewe

Note: sijakukshfu nimesema huenda
 
Mungu asaidie pia kaka uttoh amalize matatizo yake mwenyewe maana anataka ku_team na wewe ,

Soma KUTOKA 4:24_26 ,,,,utatambua nafasi Yako kwa Mumeo,,,Muokoe Mumeo mama,,,,


Wewe mbafiki unayehukumu kwamba nina matatizo na kuleta neno la Mungu, Kuna Kingine kifungu cha Biblia hiyo hiyo Kinachosema usihukumu. Peleka upumbavu wako huko.
 
Mume wangu aliponichoka.

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauliv naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli. Stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe ni wale wanawake wasioridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Ila kuishi na Mwanamke muda wote ni kazi,nyie mliooa mnawezaje?nikikaa nae wiki tu nishamchoka

Ndoa ni kazi ngumu 🙆
 
Hii phase nadhani kila kidume huwa anaipitia sema wengine huwa wanaificha kimtindo
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]

Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Hapo kwenye kuacha kazi ndipo ulipobugi step. Ulipaswa ufunguliwe biashara mbadala wa ile kazi iliyokuwa unaifanya.... Slowly.... Unapata uzoefu na biashara inakua mdogo mdogo.
 
Bila shaka huu uzi ulikuwa ni changamsha genge...

ID mpya imejoin na kumwaga nyongo, na ikapotea kurudia ID ya siku zote...
 
Nawapendaga wanawake kama ninyi
Niwapelekee motroo
 
Back
Top Bottom