Nahisi ndoa yangu inaelekea ukingoni kutokana na tatizo la nguvu za kiume

Jinsi ulivyoongea ni kama vile huwa unashuhudia ninachokifanyaga kabla ya kwenda Sudan kusini.
Wanaume wengi wanaosea wanadhani kumridhisha ke ni kuingiza dushe na kupump muda mrefu, na ndio maana kesi za wanawake kutofika kileleni/mshindo ni nyingi

Mwanamke anaridhika na kufika kileleni bila hata dushe kuingizwa. Just know her sensitive parts and play with it. Msikariri mchezo matokeo yake ndo hivyo sasa
 
waone Mens Clinic haraka, kama huwezi Google ili upate website yao na wasiliana nao ,hawa wana uwezo wa kutuma dawa zao straight ulipo na mazoezi ya mwili ni muhimu, lishe yako iwe bora achana kabisa na wanga, kula zaidi protein, matunda kwa wingi.Good luck Mkuu
 
Kipindi nikiwa chuoni nasoma nilikuwa na stress za maisha na pesa hamna mfukoni,lishe duni, nikiingia kwenye game dakika tatu tu nimemaliza mchezo (upungufu wa nguvu za kiume), baada ya kumaliza shule nikapata kazi nzuri pesa mfukoni, lishe nzuri, stress hakuna; nina nguvu balaa,yaani hadi najikubali. kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume unaweza sababishwa na changamoto za kisaikolojia, magonjwa, lishe duni, hali ya mahusiano nk. jaribu kuangalia vizuri kwenye hayo maeneo kipi hakipo sawa
 
Kama unakitambi punguza,kula vizuri na kama mnywaji kunywa kiasi mfn bia 4 ,pia jitahidi umchezee mwenzio mpaka afike kileleni ndio wewe uanze tendo
 
Dawa ndio zinakuharibu pia saikolojia. Hii kitu ya kupiga shoo inatakiwa uiozee kama kitu cha kawaida. Sio unafanya maandalizi kibao kuwa oooh natakiwa nimridhisha nisipomridhisha sijui itakuwaje ni kujipa presha.
Pia fanya mazoezi, kunywa maji mengi sio ya baridi kwa siku angalau lita 2 au moja na nusu, kula sana ndizi mbivu, parachichi na ukipata muda unakula kula karanga mbichi au unang'ata nazi kidogo, mhogo mbichi kama sehemu ya kujiburudisha tu.
Au kama ni suala la kumridhisha yeye vaa kondom tatu ili usisikie sensation ya pussy!
Alafu pia haya ni madhara ya kuoa kabla ya kutest mzigo, unaingia ndoani na hofu tayari. Kabla ya ndoa ilitakiwa uhakikishe umecharaza hiyo pussy mpaka eneo lote limekuwa jeusi.
 
mkuu tafuta mizizi ya mgomba/mdizi ni kiboko ya hilo tatizo ila kabla ya kutafuna hio mizizi wife awe karibu kabisa ni angalizo hilo
 
 
Why imetokea hivyo??? Ulipiga sana nyeto au ndivyo ulivyozaliwa????

Hivi hiyo mentality yakua kila mwenye tatizo la nguvu za kiume kua alipiga punyeto mumeipata wapi?

Hivi Hamuzijui source kuu za tatizo la nguvu za kiume?
 
Mkuu jaribu hii kitu naamini itakusaidia sana.

Chukua Ngogwe za kienyeji 6 zikate katikati ili kupata vipande 12, changanya na maji vikombe viwili kisha chemsha bila ya kuweka kitu chochote kwa muda wa dakika 10 bila kufunika.
Kula vipande vyote 12 ukishushia na supu yake, vyote vikiwa vya moto bado na tumia mara moja kwa siku kwa muda wa siku tano.

Pia jaribu kutumia condom wakati wa kusex naye.

Hop utafanikiwa na ninakutakia kila la kheri
 

Mkuu Ngogwe ndio nini
 
Ukifata haya nayokwambia utapona...wewe usiulize y wew fata tuu
1.pungua uzito
2.stop watchn porn
3.acha puli
4.usiliwazie hili swala for 3 months,ni ngum ila jitahid
5.kua muwaz kwa mkeo kua unafaham kua una tatzo na unalifanyia utatuz hii itakufanya uongeze confidenc na usimwogope
Usifanye tendo wala nyeto wala porn for 3months

Ukifanya haya yote kama bado tatzo then sjui
 
Nakubalina na wewe. Usijione dhaifu. Hapo ndio tatizo la kisaikolojia linapoanzia. Halafu achana na washamba wanajipata kuwa wanachukuwa nusu saa ama saa 1 kufika mwisho. Siyo kawaida ya binadamu hiyo. Huo nao ni ugonjwa. Na unaowaona kwenye video huwa ni vipande vifupi vifupi ambavyo huunganishwa. Vinaweza kuchukuliwa vipande 5 katika siku 5 tofauti katika mwezi na kuunganishwa baadae na mtazamaji ukafikiri kuwa ni tukio la mara moja tu. Sisi watu wazima, mara moja inatosha kama itafanywa sawasawa. Katika hiyo mara moja, kinachotakiwa ni wote wawili kufika kilele. Katika hizo dakika 3 zako, kuna wanawake wanafika kilele. Tena wanafika kabla yako. Na urefu wa kufika kilele unategemeana na ukame wako. Kama una ukame wa muda mrefu, dakika 3 inaweza kutokea. Kwa jinsi unavyofanya mara kwa mara, ndivyo itakavyo kuchukuwa muda kufikia kilele. Pia kuvaa kondom huwa kunachelewesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…