Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Sasa mimi kama ilivo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Tatizo lilianzia hapa
Huyo bwana mdogo bado moto haujamuwakia, asubiri
 
Unaachaje mameseji ya michepuko kwenye simu aisee! Hata kama hajui password lakini try to be reponsible. Show her some respect. Unajiachiaje kiasi hiko!
 
Sasa mkuu kama ndani kwako mlikuwa na amani huko nje ulifuata nini tena? Haya ndiyo makosa wanaume tunafanya, nyama ni ile ile utamaliza Bucha tu! Halafu ukute na hayo ma michepuko siyo pisi kali kuzidi mkeo!
Hakukuwa na amani, ililkuwa amani feki. kikubwa ni kuwa mkewe hampi kile akitakacho kiu ikakatika ndo maana anakitafuta kile anachokikosa ndani na huko nje hajakipata bado
 
Sema ukimwamini mtu alafu ukakuta anafanya mambo sio inakata stimu kinyama yani
Stimu gani sasa? Ile stimu uliyokubali kuanza naye ndiyo iendelee ku maintain safari yenu. Zaidi ya hayo nyie ni watu wazima mliolelewa mazingira tofauti. JIKAZE stimu liendelee
 
Hata siku moja usifanye kosa la kukiri kosa. Mwanamke usithubutu kumuomba msamaha kwa jambo kama hili. Mwanamke anamiliki mbususu, mume anamiliki ndoa.
Hata angekukuta unatesa kucha, huruhusiwi kukiri kosa. The moment you admit and apologise for such kind of issues, unakuwa umenyang’anywa silaha zote.
Utakoma kwenye hiyo nyumba.

Amka piga biti moja matata sana, kwanini kagusa simu yako, alafu akizingua mwabie ajikatae.

Wewe ni mwanaume usikubali ujinga, tafuta namna ya kugeuza kibao.
Mimi suala kama hili lilishanikuta, mbona niliombwa msamaha mimi japo ndo nilikuwa mkosaji.

Own your family and remain strong, the moment you show weakness and fear kwamba ataondoka, ndo utajua hujui.
 
Hivi kwanini aibu na majuto huja baada ya kukamatwa!! Hio aibu ulikua huipati unapofanya hayo yote. πŸ€”
 
Hahahaha poleee kaka jiandae kuchapiwa hizi mambo demu wako alishaniambia kitambo...sema ulipata demu bomba sana na mwamwinifu..wasalimie hapo arusha..mkeo rafiki yangu sanaa
 
Sema tu kwa vile ma malaya unaweza kuyafanya kadri unavyotaka! Hata kuyanyanyua miguu mpaka darini lakini ladha ni ile ile mkuu!
 
Asee pole sana. Mimi yamenikuta mwez wa nne na ndio alikuw anaend kupona ila ijumaa nkajivuruga nkamtumia sms mkewang badala ya mchepuko
Kajinga! πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
mjenziwakale mke wako hata akiona picha uko juu ya mwanamke. Kataa huyo sio wewe. Kataa Tena kataa kabisa. Siku ukifanya uzinzi halafu ukakubali mbele yake aisee hiyo ndio itakua reference yake kila uhomvi ukitokea.
Lakini ukikataa na kuapa kwa jina la babu yako aliyekua na wake wengi, Ni rahisi kusahau au kusamehe.
Mkatalie mwambie meseji sio zako na picha huzijui.
 
Mkuu jaribu kufanya hivi,
1. Jifanye unahasira, yaani jifanye ume-mmind kwelikweli kana kwamba kosa ni lake
2. Mwambie ajiandae(Aoge na avae nguo za kutokea) kisha anzeni safari, hakikisha unakahela mfukoni
3. Mkiwa njiani, mwambie "mama Solomon bila shaka unajua kilichotokea jana" basi naomba niambie ni mwanamke gani au mwanamme gani aliyekamili katika njia zake??? Yaani hajawahi kukosea??? Hakika Nikimjua huyo nitamfanyia jambo la ukumbusho
4. Bila shaka hataweza kumtaja, mkiwa mnaendelea na safari yenu, mwambie leo hii umejua siri zangu tena huenda umeijua muda muafaka ili nisiwe mgeni tena kwako bali umenijua katika yote.
5. Mwambie, kama uliweza kuishi na mimi kwa amani miaka yote hii bila kuyajua haya, je si nizaidi ya hayo ukiisha kunijua???
6. Mwisho, mwambie samahani kwa kuujeruhi moyo wako, nakuombea amani iwe pamoja nawe, NISAMEHE na kuniombea niyaepuke haya, kisha ingia dukani mnunulie vyupi, hereni, sidiria n.k kisha mrudi nyumbani kwa amani.
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
Tungekuambia, lakini utayazagaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…