🤛🤛🤛🤛Inapovunwa shambani inakuwa ndani ya hivi vidude. Kitaalamu tunaita pods. Humo ndani kinakuwa na layers kadhaa maana kabla pod halijawa kavu,linakuwa ni tunda kama zabibu kwa mbali.
Hapo nilipozungusha red Ni kahawa yenyewe sasa nimeitoa ndani ya pod.
Hadi akukumbushe kesho wakati mwenzio nimeshachukua point tatu tayari. 😅😅Unikumbushe kesho.
Mimi nimepakana na miti ya kahawa kwa upande mmoja
Wakubwa hatuendagi hivyo kakaHadi akukumbushe kesho wakati mwenzio nimeshachukua point tatu tayari. 😅😅
Nimeshamwonyesha na somo nimempa. Aaliyyah Kama unataka kuuliza swali lolote la kahawa we niulize tu,Mimi sijibu kesho nakujibu hapa hapa Sasa hivi. 😅😅
sikumbuki ila inaitwa 'FEEDMI coffee shop' uki-google utaipata....Asante sana mkuu…iko upande gani mwa dar?
Bora wewe umenikomeshea huyo mkulima wa kahawa Sanya juu. 😅😅Ni kweli kahawa nzuri unywe pasipo sukari.
Espresso iko very strong na ndio maana inakuwa served na glass ya maji pembeni
Hajanitaja jina anaogopa moto kumuunguza huyo dalali wa kahawa😂😂😂
Sema mwache dalali mdogo wangu😂Mwache mdogo wangu🤣🤣
Ameniita dalali? 😅😅Mwache mdogo wangu🤣🤣
Ulale Sasa,mwenzio nipo kazini saa hii nakesha mrussi amenikalia kooni anataka mzigo wake kwa wakati. 😅Sema mwache dalali mdogo wangu😂