Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Kwanini nimekushangaza mkuu.

Asante Kwa hiki ulichokiandika mkuu nitakifanyia kazi
 
Mm isio nasukari ndio napenda zaidi. ..naweza kunywa na kitu chochote. .kwangu max ni 2 cups na maji mengi yakunywa. .kunywa maji mengi nikm una dilute ilekahawa
 
Usipoleta utaniudhi kaka🤣🤣niletee nitatengeneza scrub ya kusugulia mikuu 😉

Nitamfikisha ujumbe wako Kesho tu asubuhi Na mapema.kitimoto kinakusubiri kaka😁

Hauna decaffeinated coffee?
Hapa tunapoongea nipo katika operation,Kuna mteja wa Russia ana kontena zake kadhaa,so nimeingia night shift,nagonga kahawa.

Kama wikiend upo nikuandalie parcel yako nikuletee. Achana na Glenn na Manyanza wake,Wana wivu Sana hao wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…