Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

Mimi ni mwanaume Nina tatizo Hilo pia. Yaani naweza kupiga hata bao 10 Kwa usiku mmoja! Na kukicha tukiachana tu dakika 10 nataka tena. Njoo tuyajenge maana nahisi wewe ndio pipa halafu mimi ni mfuniko! Tunaendana.
Njoo Pm, kazi yangu niwe nakuridhisha na wewe uniridhishe ila kila mtu atabaki na anayempenda!

Mwanamke niliyenae sasa ananikimbia. Ananiambia napenda ngono yaani Kila saa ngono!
Nataka nimfundishe huyu wangu kupenda ngono na wewe mfundishe wako
 
Ila ww dada unatatizo kubwa sana la kisaikolojia na nyuzi zako unazo zianzisha humu ni ushahidi tosha.

Unahitaji msaada mkubwa sana kukaa sawa.
Utakuwa ni dokta kindly pm me kwa msaada zaidi
 
Mtu kusema ana nyege ni tatizo? Je angesema hana hamu ya tendo pia ungeandika hivi? Mm naona ww ndio una matatizo ya kisaikolojia
Ww fuatilia nyuzi zake anazo zianzisha humu uzisome ndo utajua kuwa hayuko sawa kichwani.
 
Ww fuatilia nyuzi zake anazo zianzisha humu uzisome ndo utajua kuwa hayuko sawa kichwani.
Usawa wa mtu haupimwi kwa maandishi we kenge ndio maan mnatapeliwaa
 
Huyu jamaa namjua ni shoga analiwa kiboga/tigo bila woga bila shaka ndo aliyeanzishe ule uzi unaosema "ananitafuta akiwa na hamu ya kufanya mapenzi" kama sikosei atakua anasumbuliwa na afya ya akili huyu nyuzi zake ni ngono to
 
Huyu jamaa namjua ni shoga analiwa kiboga/tigo bila woga bila shaka ndo aliyeanzishe ule uzi unaosema "ananitafuta akiwa na hamu ya kufanya mapenzi" kama sikosei atakua anasumbuliwa na afya ya akili huyu nyuzi zake ni ngono to
sawasawa kabisa kwani unanionea wivu nikiliwa ama
 
Yatakuja yenyewe wala usiwe na haraka muda utaongea na hutokuja kuleta hizi mada tena hapa
Bado mda mkuu sina mtoto sina familia sina anaenidai niwaze nini kingine
 
Back
Top Bottom