Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

Kama kichwa cha habari husika

Nimejichunguza vya kutosha nashindwa bado kujipa majibu ya uhakika… ni mimi nina tatizo ama ni hali ya kawaida tu kwa kila mwanamke

Mimi sio mwenyeji sana kwenye hiyo sekta ya kunyanduana bado sijakomaa hivyo so inanifanya wakati mwingine nijishtukie mno haswa kwa mtu ambae niko nae…

Navyowaambia ndani ya 24hr ninawaza ngono tu nipo job ila mawazo yangu yanafikiria kunyanduana tu..
Hakuna ninachowaza cha maana zaidi ya hilo mpk nimewaza ama nimeharibika kisaikolojia..
Mimi huwa siangalii porn wala sijawahi kujichua kwa njia yoyote ile sijui kwanini hilo tatizo linanikuta

Kuna wanawake wengine hupata hamu siku zile za hatari ama za hedhi hii imekuwa tofauti kwangu… yaani mimi kila siku kila saa ninapata hamu ya ngono

Kuna wakati hadi namlazimisha BF wangu tuonane ili tunyanduane kaka wa watu hata kama ratiba yake ngumu ataivuruga ilimradi tuonane.. wakati mwingine ananikosea ila akipiga simu moja amenimiss hata kama sina nauli nitakopa ili niende kwake
Ninaweza kumuamsha hata saa 8 usiku nataka sex unakuta anafanya tu ile kuniridhisha ila nikitoka tu kwake tena nina hamu ya sex….

Nahisi kama nimekuwa addicted na ngono tangu nimekuwa nae japo ndio hivyo nae simuelewii kama ananipenda ama la

Wenzangu mlifanya nini mkaweza kucontrol hizo genye zenu… natamani niweze kujicontrol
mzabzab mke uliyekuwa unatafuta huyu hapa. Mradi tu usitangulize nauli
 
Hapo homoni zako zipo sawa na libino ipo sawa kikubwa uwe mwaminifu na uwe na mwanaume anayejielewa na mwenye nguvu za kukusugua hasa usidangedange UKIMWI upo. WANAWAKE WANAPENDA SANA KUNYANDULIWA KILA SIKU ILA HAWASEMI , UTASIKIA MIMI SITAKI KILA SAA / SIKU ILA MOYONI ANATAKA KUKUNWA HASWA NA USIPO PELEKA MOTO ANAKUTELEKEZA . WEWE NI MWANAMKE WA KIPEKEE MMOJA WAPO ULIYEWEKA HILI SWALA WAZI MAANA SISI WANAUME TUNALIJUA HILO. UPO SAWA MAMA USIHOFU FANYA NGONO SALAMA NA HAKIKISHA WANAUME WEZANGU HAWAKULAGAI KIRAHISI MAANA WATAKUPOTEZA MAPEMA
Hapo sasa umenishauri vizuri kumbe nipo sawa tu kuna siku niliambiwa napenda ngono nitamnyonya mwili wake atakonda mmmh
 
Kama kichwa cha habari husika

Nimejichunguza vya kutosha nashindwa bado kujipa majibu ya uhakika… ni mimi nina tatizo ama ni hali ya kawaida tu kwa kila mwanamke

Mimi sio mwenyeji sana kwenye hiyo sekta ya kunyanduana bado sijakomaa hivyo so inanifanya wakati mwingine nijishtukie mno haswa kwa mtu ambae niko nae…

Navyowaambia ndani ya 24hr ninawaza ngono tu nipo job ila mawazo yangu yanafikiria kunyanduana tu..
Hakuna ninachowaza cha maana zaidi ya hilo mpk nimewaza ama nimeharibika kisaikolojia..
Mimi huwa siangalii porn wala sijawahi kujichua kwa njia yoyote ile sijui kwanini hilo tatizo linanikuta

Kuna wanawake wengine hupata hamu siku zile za hatari ama za hedhi hii imekuwa tofauti kwangu… yaani mimi kila siku kila saa ninapata hamu ya ngono

Kuna wakati hadi namlazimisha BF wangu tuonane ili tunyanduane kaka wa watu hata kama ratiba yake ngumu ataivuruga ilimradi tuonane.. wakati mwingine ananikosea ila akipiga simu moja amenimiss hata kama sina nauli nitakopa ili niende kwake
Ninaweza kumuamsha hata saa 8 usiku nataka sex unakuta anafanya tu ile kuniridhisha ila nikitoka tu kwake tena nina hamu ya sex….

Nahisi kama nimekuwa addicted na ngono tangu nimekuwa nae japo ndio hivyo nae simuelewii kama ananipenda ama la

Wenzangu mlifanya nini mkaweza kucontrol hizo genye zenu… natamani niweze kujicontrol
Hapo sana inabidi ujitahidi kuwa na majamaa yakutosha,,
Ofisini 1 au 2
Bodaboda 1
Sokoni 1
Buchani 1
Wapangaji wenzio 1
At least usipungukiwe unapohitaji
 
Back
Top Bottom