Nahisi nina tatizo la kupenda kufanya mapenzi nahitaji njia ya kuacha ama kupunguza

Huna tatizo.Nyanduana sana ili utibu watu tezi dume.Hakikisha moshi unatoka.
 
😂😂😂 tatizo jf kila mtu anajifanya mtabirii
Sio kwamba ni utabiri kuna namna tu mwanamke mwenye akili timamu ana behave humu , tofauti na hapo ni kufyatuka akili au wengine wataita dume kama hivyo yani , ni maoni yangu tu sio kwa ubaya😊
 
Tuanzie na ulaji wako kwanza................lishe yako ikoje........inawezekana unakula vitu vinaenda kutibua mavitu..............ila hata mimi huwa ni mgonjwa.........ka abdala kangu kanapenda tendo
 
📌NJOO PM(DM) NIKO NA DAWA YA KUPONYESHA TATIZO LAKO,UTAPOTA KABISA.

UPO MKOANI AU UPO DASLAM??📌
 
Ukijuwa sex haina faida yoyote utaacha kuwaza hivyo. Embu jaribu kukaa wiki moja tu bila kufanya uone utakavyojisikia vizuri,kuanzia moyoni.
 
Nimesoma kila mstari na kuunganisha nukta. Itoshe kusema kuwa unapaswa kulipia tangazo la biashara uliloliweka hapa😅
 
Naam model kama yako nikiwapata kama watatu sitachepuka tena, njoo inbox tuyajenge babe
 
Umebikiriwa juzi nini
 
Kwanza nikuulize una umri gani?,,kama uko fifteen to twenty's,usiofu ni jambo la kawaida hilo,lkn kama ni above yaweza endelea lkn ni nadra sana,ikibidi uchunguzwe kwa mtaalamu, fifteen to twenty's ni kipindi cha miemko mikali sana katika mambo hizo,ndo unakuwa bado unaendelea na miemko yakuvunja ungo!!!,,nakushauri olewa tu kama uko tayari, vinginevyo utachuma janga.
 
Njoo PM tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…