Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Wala hata usihofu mkuu, hafi mtu hapq, unataka uende wap na maisha haya magumu umuachie nani? Uwakimbie Wanao wakabak kuteseka pekee yao ?

We kunywa maji mengi relax. Hufi wala nink japo chamoto unakiona ila kufa sio leo wala kesho. Nakuhakikishia mwaka huu unautoboa vyedi kabisaa.

JUst back to drawing board, plan and plan and plan.
 
mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipo fikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kuto kukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilicho jaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na hudhuni na furaha chache.

mpaka hapa nilipo fikia nina watoto wa 3 ambao nina wapenda mno.

vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi. na ni kama kichwa kina nielemea kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma...!

kwa taaluma mimi ni muandishi wa Habari ambae napenda sana kusoma vitabu. na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu. lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kuto kuelewa kila ninacho kisoma. vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda niki visoma nahisi vina nichanganya. hata baadhi ya mada nilizo kuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi🥲

nimepatwa na hofu hata niki kaa karibu na watu ninao wapenda sifurahii uwepo wao. nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zina hesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

sifikilii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua 😭😭😭

mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haiku niua... hapo nilikuwa na miaka 9 au 10 mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia.

kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​


Vijana mnapata matatizo kwasababu mnaiga sana. Kuoa mapema wakati hamjitambui na hamjui kutumia fusa zenu.

1. Kwanza acha kufikiria au kusubiri huruma kutoka mitandaoni. Huku utapata mawazo lakini weka watu wakupendao karibu usitegemee mapenzi kutoka mitandaoni ni fake
2. Imani ni muhimu huwezi kujifikiria mabaya na kutegemea mazuri. Yaani kuna vijana ambao wanaumwa kweli na wameshindikana. Dereva wangu ana miaka kama 32-34 hapo ana cancer na imesha enea sasa wanampa dawa za kuongeza siku zake tu lakini kiafya ni ngumu kupona. Weer umekaa na kujizushia magojwa na kujisikiliza! Kuumwa kichwa sio ugojwa ni dalili za mwili wako kuwa na matatizo mengine.
3. Jiulize umetumia mtandao kutafuta fursa. Unasema wewe ni mwandishi umeandika nini hasa cha kukuongezea kipato. Je umetumia mtandao kutafuta fusa nje ni masaa mangapi kwa siku umetumia kutafuta fursa. Serikali inatoa mpaka mashamba ya bure umejaribu kufanya utafiti kwenye hilo. Mnafikiria sisi ambao tuko diaspora tuliletewa barua mlangoni na kubebwa hapata tulitafuta fursa tena wengi kabla hata ya mitandao. kuna watu walienda kuomba viza Zambia, wengine walitengeneza fake bank statements, wengine walifanya mitihani mbali mbali. Siku hizi vijana wana miaka 30 bado wana lalama kila siku. Sisi tuliondoka 1997-2007 hapo hapakuwa rahisi.

Yaani nilisikia mfano ukisoma kigerumani na kufaulu mtihani wao wanakupa visa ya kwenda kule kufanya kazi. Je unajua haya au unashinda kuomba huruma! kama hujui kwanini hujui na mimi najua ? jiulize maswali kama haya. Kama hamna fursa tafuta sehemu za kwenda na kujipanga sio kulalama. Maisha hayajawahi kuwa rahisi.

Ushauri tumia muda kutafuta fursa nenda kwenye youtube katafute video za fursa acha kujiombea mabaya na utamaduni wa kulalamika sio mzuri na uache mara moja
 
kwenye swala la michezo kwakweli mimi sio mwana michezo... labda jogging ila sina ushabiki kabisa wa mchezo wowote...!

na mimi ni aina ya wale watu ambao usipo nizoea siwezi kukuzoea...! hivyo kujichanganya na watu hii kwangu itakuwa mtihani sana... nita jaribu​
kila jambo tunaweza kujifunza na kuzoea, jaribu kutafuta hobbies nyingine.
utakuja kunishukuru mkuu
 
nitajitahidi japo kitu ninacho kipenda zaidi ni simu au computer yangu... hivyo ndio huwa natumia muda mwingi mno kuwa navyo...!​
basi kwenye hivyo vifaa unavyotumia muda mrefu, epuka kusoma au kufuatilia maudhui yasiyofaa.
nadhani nilivyosema yasiyofaa umenielewa. wewe ni mtu mzima ndugu mwandishi
 
Vijana mnapata matatizo kwasababu mnaiga sana. Kuoa mapema wakati hamjitambui na hamjui kutumia fusa zenu.

1. Kwanza acha kufikiria au kusubiri huruma kutoka mitandaoni. Huku utapata mawazo lakini weka watu wakupendao karibu usitegemee mapenzi kutoka mitandaoni ni fake
2. Imani ni muhimu huwezi kujifikiria mabaya na kutegemea mazuri. Yaani kuna vijana ambao wanaumwa kweli na wameshindikana. Dereva wangu ana miaka kama 32-34 hapo ana cancer na imesha enea sasa wanampa dawa za kuongeza siku zake tu lakini kiafya ni ngumu kupona. Weer umekaa na kujizushia magojwa na kujisikiliza! Kuumwa kichwa sio ugojwa ni dalili za mwili wako kuwa na matatizo mengine.
3. Jiulize umetumia mtandao kutafuta fursa. Unasema wewe ni mwandishi umeandika nini hasa cha kukuongezea kipato. Je umetumia mtandao kutafuta fusa nje ni masaa mangapi kwa siku umetumia kutafuta fursa. Serikali inatoa mpaka mashamba ya bure umejaribu kufanya utafiti kwenye hilo. Mnafikiria sisi ambao tuko diaspora tuliletewa barua mlangoni na kubebwa hapata tulitafuta fursa tena wengi kabla hata ya mitandao. kuna watu walienda kuomba viza Zambia, wengine walitengeneza fake bank statements, wengine walifanya mitihani mbali mbali. Siku hizi vijana wana miaka 30 bado wana lalama kila siku. Sisi tuliondoka 1997-2007 hapo hapakuwa rahisi.

Yaani nilisikia mfano ukisoma kigerumani na kufaulu mtihani wao wanakupa visa ya kwenda kule kufanya kazi. Je unajua haya au unashinda kuomba huruma! kama hujui kwanini hujui na mimi najua ? jiulize maswali kama haya. Kama hamna fursa tafuta sehemu za kwenda na kujipanga sio kulalama. Maisha hayajawahi kuwa rahisi.

Ushauri tumia muda kutafuta fursa nenda kwenye youtube katafute video za fursa acha kujiombea mabaya na utamaduni wa kulalamika sio mzuri na uache mara moja
nimekuelewa sana nitajitahidi 🙏🙏🙏🙏
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Ndugu maisha yana sehemu kuu tatu ambazo ni kuzaliwa, kuishi, na kufa!
Na ktk kipindi cha maisha zipo changamoto ambazo kila mwanadamu hupitia hata hao kina matajiri na viongozi wa kitaifa wanazo changamoto.
Sasa ukijua hilo wala haitakupa shida ya kuona matatizo yapo kwaki tu.
Kiroho ni kuwa ipo roho ya mauti ambayo inakufuatilia haiwezekani et 9 yrs mtu ulishaanza kujaribu kujiua.
 
Vijana mnapata matatizo kwasababu mnaiga sana. Kuoa mapema wakati hamjitambui na hamjui kutumia fusa zenu.

1. Kwanza acha kufikiria au kusubiri huruma kutoka mitandaoni. Huku utapata mawazo lakini weka watu wakupendao karibu usitegemee mapenzi kutoka mitandaoni ni fake
2. Imani ni muhimu huwezi kujifikiria mabaya na kutegemea mazuri. Yaani kuna vijana ambao wanaumwa kweli na wameshindikana. Dereva wangu ana miaka kama 32-34 hapo ana cancer na imesha enea sasa wanampa dawa za kuongeza siku zake tu lakini kiafya ni ngumu kupona. Weer umekaa na kujizushia magojwa na kujisikiliza! Kuumwa kichwa sio ugojwa ni dalili za mwili wako kuwa na matatizo mengine.
3. Jiulize umetumia mtandao kutafuta fursa. Unasema wewe ni mwandishi umeandika nini hasa cha kukuongezea kipato. Je umetumia mtandao kutafuta fusa nje ni masaa mangapi kwa siku umetumia kutafuta fursa. Serikali inatoa mpaka mashamba ya bure umejaribu kufanya utafiti kwenye hilo. Mnafikiria sisi ambao tuko diaspora tuliletewa barua mlangoni na kubebwa hapata tulitafuta fursa tena wengi kabla hata ya mitandao. kuna watu walienda kuomba viza Zambia, wengine walitengeneza fake bank statements, wengine walifanya mitihani mbali mbali. Siku hizi vijana wana miaka 30 bado wana lalama kila siku. Sisi tuliondoka 1997-2007 hapo hapakuwa rahisi.

Yaani nilisikia mfano ukisoma kigerumani na kufaulu mtihani wao wanakupa visa ya kwenda kule kufanya kazi. Je unajua haya au unashinda kuomba huruma! kama hujui kwanini hujui na mimi najua ? jiulize maswali kama haya. Kama hamna fursa tafuta sehemu za kwenda na kujipanga sio kulalama. Maisha hayajawahi kuwa rahisi.

Ushauri tumia muda kutafuta fursa nenda kwenye youtube katafute video za fursa acha kujiombea mabaya na utamaduni wa kulalamika sio mzuri na uache mara moja
Ugumu wa maisha hauhusian na ndoa kuna watu hawajaoa na wanamaisha magumu sana
 
Ushauri:

Wahi hospitali haraka una matatizo ya ugonjwa wa akili, dalili za mental disorder ziko nyingi mno, kabla haijawa very serious, wahi sasa hujachelewa, matatizo ya kuugua ubongo na neva za fahamu ni mengi mno, ujue hata ukiwa unaumwa mno magonjwa mengine hujui yauwezo wa kuharibu ubongo na matatizo ya akili huanza..!! Hata baadhi ya minyoo tu wakiwa wengi mno waenda kula hadi ubongo, mfano minyoo aina ya tegu au bilharzia au kichocho, huathiri kabisa ubongo wakikaa miaka bila kutibiwa na dalili za awali ni kama zako, matatizo ya akili.

Fanya hivyo hospitali zipo, kitengo cha psychiatric, utapata matibabu vema.
shukrani nitajitahidi 🙏
 
Vijana mnapata matatizo kwasababu mnaiga sana. Kuoa mapema wakati hamjitambui na hamjui kutumia fusa zenu.

1. Kwanza acha kufikiria au kusubiri huruma kutoka mitandaoni. Huku utapata mawazo lakini weka watu wakupendao karibu usitegemee mapenzi kutoka mitandaoni ni fake
2. Imani ni muhimu huwezi kujifikiria mabaya na kutegemea mazuri. Yaani kuna vijana ambao wanaumwa kweli na wameshindikana. Dereva wangu ana miaka kama 32-34 hapo ana cancer na imesha enea sasa wanampa dawa za kuongeza siku zake tu lakini kiafya ni ngumu kupona. Weer umekaa na kujizushia magojwa na kujisikiliza! Kuumwa kichwa sio ugojwa ni dalili za mwili wako kuwa na matatizo mengine.
3. Jiulize umetumia mtandao kutafuta fursa. Unasema wewe ni mwandishi umeandika nini hasa cha kukuongezea kipato. Je umetumia mtandao kutafuta fusa nje ni masaa mangapi kwa siku umetumia kutafuta fursa. Serikali inatoa mpaka mashamba ya bure umejaribu kufanya utafiti kwenye hilo. Mnafikiria sisi ambao tuko diaspora tuliletewa barua mlangoni na kubebwa hapata tulitafuta fursa tena wengi kabla hata ya mitandao. kuna watu walienda kuomba viza Zambia, wengine walitengeneza fake bank statements, wengine walifanya mitihani mbali mbali. Siku hizi vijana wana miaka 30 bado wana lalama kila siku. Sisi tuliondoka 1997-2007 hapo hapakuwa rahisi.

Yaani nilisikia mfano ukisoma kigerumani na kufaulu mtihani wao wanakupa visa ya kwenda kule kufanya kazi. Je unajua haya au unashinda kuomba huruma! kama hujui kwanini hujui na mimi najua ? jiulize maswali kama haya. Kama hamna fursa tafuta sehemu za kwenda na kujipanga sio kulalama. Maisha hayajawahi kuwa rahisi.

Ushauri tumia muda kutafuta fursa nenda kwenye youtube katafute video za fursa acha kujiombea mabaya na utamaduni wa kulalamika sio mzuri na uache mara moja
Ugumu wa maisha hauhusian na ndoa kuna watu hawajaoa na wanamaisha magumu sana
 
Back
Top Bottom