Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante sana ndugu yangu nitajitahidiPole , kama Una amini uwepo wa Mungu Fanya toba ya kusudio la kutaka kuondoa uhai ambao siyo Mali yako
Mkuu wewe ni suicidal? Hilo ni tatizo la akili labda mshauri anaweza kukusaidia.
Unajua maisha ni kupambana usi give up wala kuback up.
Haijalishi nini unapitia pambana maana aliposema tutakula kwa jasho letu, believe me... hakutania
ni kweli ila ina bidi tuzoee tuu kwani mwisho wa siku kila nafsi lazima ionje Umauti 😭😭😭Kufa kupo tu ila Hofu ya kufa ndio haizoeleki.
nitashukuru sana 🙏🙏🙏Pole sana mkuu lakin naamini maombi yetu yatafanya uwe sawa na hofu itaisha
Mkuu maisha ndivyo yalivyo. Kuna watu wanakuwa na njia imenyooka na wengine kuzunguka.... so jua wapo wengishukrani bado sijakata TAMAA japo sijioni kuwa hapo mbele mimi nitakuwa nani...!
shukrani sanaDah! Pole sana mkuu MWENYEZI MUNGU AKUSAIDIE
Pole sana mkuu. Nimesoma maelezo yako na nadhani wewe unasumbuliwa na depression. Depression ni ugonjwa mbaya sana na uweza kumpata mtu yeyote japokuwa wewe inaonyesha unakuonea tangu ukiwa mdogo. Hii pengine ni kutokana na familia (kurithi) kwani kuna watu wako vulnerable kwa huu ugonjwa kuliko wengine. Kuna mtu mmoja nilisikia akihojiwa kuhusu huu ugonjwa akawa anasema aliupata na muda wote alikuwa anatamani kufa wakati aliwahi kuugua sana kansa na alikuwa anatamani kuendelea kuishi. Ugonjwa wa depression hufanya mtu kukata tamaa kabisa kabisa, kutokuwa na raha na hata vile vitu ambavyo alikuwa vinampa burudani anakuwa havipendi. Ushauri wangu kwako ni uende hospital inayoaminika uonane na dr bingwa umwelezee shida yako. Kuna dawa na therapies za kuweza kukuondoa kwenye hiyo hali na baadae ukawa na furaha kama zamani.kiuchumi siwezi kusema nina tatizo kihivyo kwani nina jishughulisha... japo sina kipato kikubwa cha kumsaidia mwingine ila nina uwezo wa kula milo mitatu...!
kwakweli sielewi kwanini nimewaza hivyo...!
nifanye nini...?Wengi tu tulio na shida ila hatufikii hatua hii. Mtu wa Mungu, elewa unao wategemezi nyuma yako, utawatesa sana. Wewe una stress na hujawa resilient, umekata tamaa na huna solutions kwa changamoto ulizonazo. Be strong, be man enough to look for self courage. Ujue wanaokufa huwa hawarudi, so usitamani kufa as if it is a solution
Halafu kitu kingine. Umefanya vizuri sana kuweka kinachokusibu hadharani. Ujasiri tu wa kuelezea masaibu unayopitia bila kuona aibu ni njia nzuri sana ya kuanza safari mpya ya matumaini. Kutoa tatizo ulilonalo moyoni ni njia nzuri ya kupunguza ''mzigo'' (ugonjwa)shukrani sana
Uamini Mungu, usiamini Mungu, Kifo kitatia Timu tu,hata hii misemo ya sijui "Nafsi itaonja Umauti" ni misemo ya kujipa Moyo tu kifo kinakuja tu.ni kweli ila ina bidi tuzoee tuu kwani mwisho wa siku kila nafsi lazima ionje Umauti 😭😭😭
i know that i must, I can and I will but how....?Wala hata usihofu mkuu, hafi mtu hapq, unataka uende wap na maisha haya magumu umuachie nani? Uwakimbie Wanao wakabak kuteseka pekee yao ?
We kunywa maji mengi relax. Hufi wala nink japo chamoto unakiona ila kufa sio leo wala kesho. Nakuhakikishia mwaka huu unautoboa vyedi kabisaa.
JUst back to drawing board, plan and plan and plan.
ndio wanadai healings is a process... hope nipo kwenye heal zone 😭😭😭Halafu kitu kingine. Umefanya vizuri sana kuweka kinachokusibu hadharani. Ujasiri tu wa kuelezea masaibu unayopitia bila kuona aibu ni njia nzuri sana ya kuanza safari mpya ya matumaini. Kutoa tatizo ulilonalo moyoni ni njia nzuri ya kupunguza ''mzigo'' (ugonjwa)
Nafikiri ni vizuri kufanya jata hiyo jogging kila siku, pia waone wataalam wa afya, ila hii dunia hakuna kukata tamaa, mapambano yaendelee tu! Pole sana.kwenye swala la michezo kwakweli mimi sio mwana michezo... labda jogging ila sina ushabiki kabisa wa mchezo wowote...!
na mimi ni aina ya wale watu ambao usipo nizoea siwezi kukuzoea...! hivyo kujichanganya na watu hii kwangu itakuwa mtihani sana... nita jaribu
kuna kitu nadhani hakipo sawa we need help...!huu ni uzi wa pili
asante nitajitahidi 🙏Nafikiri ni vizuri kufanya jata hiyo jogging kila siku, pia waone wataalam wa afya, ila hii dunia hakuna kukata tamaa, mapambano yaendelee tu! Pole sana.
nitajitahidi asante 🙏Umelogwa baba. Nenda kwa Mwamposa ukapake mafuta na maji.
nitajitahidi 🙏Usikate tamaa kumbuka una watoto ...Naelewa hiyo hali unakuta mambo yanakataa kabisa ila piga moyo konde.