Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Ndugu maisha yana sehemu kuu tatu ambazo ni kuzaliwa, kuishi, na kufa!
Na ktk kipindi cha maisha zipo changamoto ambazo kila mwanadamu hupitia hata hao kina matajiri na viongozi wa kitaifa wanazo changamoto.
Sasa ukijua hilo wala haitakupa shida ya kuona matatizo yapo kwaki tu.
Kiroho ni kuwa ipo roho ya mauti ambayo inakufuatilia haiwezekani et 9 yrs mtu ulishaanza kujaribu kujiua.
naiondoaje hiyo roho...?
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Mimi niseme kitu hapa,

Jaribu kuwafikiria hao watoto watatu utakao waacha bila mtu (baba) umejaribu kuwaza Hilo...??!

Hiyo Hali inawatokea wengi na Wana survive mfano Mimi kichwani nilikua nipo vizuri Sana sijawai kufail na hata hii title ya udocta sio uchwara...

Niweke wazi kwenye hii miaka mi 5 nimekua busy Sana kwenye kompyuta 24/7 kwa siku 365*5 years no likizo no Sunday...

Nikajikuta ule uwezo wangu wa upeo na akili imepungua + loosing appetite ya mambo mengi..

Embu jaribu kwenda hospital mfano ocean roads, Moi, mloganzila kaangalie watu wanavyo pambania uhai wao (utakuja ku realize your wrong)

Jifunze ku """COUNT YOUR BLESSINGS""

NB.
Mwezi mmoja na wiki Sasa niliweka Uzi wangu wa ajari ya kugongwa na gari nikiwa Kama abiria kwenye BODABODA nikavunjika mguu wa kushoto..

Nili enda hospital this week nikafunguliwa P.O.P nikawekewa P.O.P nyingine pia nimeambiwa nianze mazoezi ya kukanyagia

Weight yangu hii 84 na kulala kitandani mwezi mzima bila kujigeuza

Ndio najifunza Tena kusimama na kutembea with CRUTCHES
MHANDO it's not easy Maumivu , pressure za kimaisha Ila mungu Ni mwema ndugu naamin with time ntaweza kusimama Tena na kutake care majukumu yangu..

Unaweza kuona wewe una shida wapo wenye tabu zaidi na shida zaidi YAKO

Mwenyezi Mungu atusaidie sanaa
 
Unaweza kutuonyesha ambae siku zake za kuishi zinaongezeka?
Punguza hofu kifo ni sifa ya kiumbe hai, nakushauri katembelee wagonjwa mahospitalin ukitoka hapo nenda mbuga za wanyama kapumzike hata siku mbili.
Usisahau kufanya ibada kwa Mola wako
hiyo pesa ya kwenda mbuga za wanyama... naitoa wapi kapuku mimi😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣
 
kwakweli siwezi kujidhuru kwa aina yoyote ila... kinanisumbua sioni future yangu mbele naona giza kabisa😭😭😭​
• Giza lipi mkuu? 🤔
• mkuu, Una disability yeyote kimwili ambayo itasababisha ushindwe kufanya Baadhi ya shughuli za kujipatia angalau kipato?

Jaribu kuweka pembeni elimu yako uliyosomea, fanya shughuli nyingine za kawaida...


MSONGO WA MAWAZO UKIZIDI KWENYE IDARA YA KICHWA, NI HATARI SANA...
 
Mimi niseme kitu hapa,

Jaribu kuwafikiria hao watoto watatu utakao waacha bila mtu (baba) umejaribu kuwaza Hilo...??!

Hiyo Hali inawatokea wengi na Wana survive mfano Mimi kichwani nilikua nipo vizuri Sana sijawai kufail na hata hii title ya udocta sio uchwara...

Niweke wazi kwenye hii miaka mi 5 nimekua busy Sana kwenye kompyuta 24/7 kwa siku 365*5 years no likizo no Sunday...

Nikajikuta ule uwezo wangu wa upeo na akili imepungua + loosing appetite ya mambo mengi..

Embu jaribu kwenda hospital mfano ocean roads, Moi, mloganzila kaangalie watu wanavyo pambania uhai wao (utakuja ku realize you wrong)

Jifunze ku """COUNT YOUR BLESSINGS""

NB.
Mwezi mmoja na wiki Sasa niliweka Uzi wangu wa ajari ya kugongwa na gari nikiwa Kama abiria kwenye BODABODA nikavunjika mguu wa kushoto..

Nili ends hospital this week nikafunguliwa P.O.P nikawekewa P.O.P nyingine pia nimeambiwa nianze mazoezi ya kukanyagia

Weight yangu hii 84 na kulala kitandani mwezi mzima bila kujigeuza

Ndio najifunza Tena kusimama na kutembea with CRUTCHES
MHANDO it's not easy Maumivu , pressure za kimaisha Ila mungu Ni mwema ndugu naamin with time ntaweza kusimama Tena na kutake care majukumu yangu..

Unaweza kuona wewe una shida wapo wenye tabu zaidi na shida zaidi YAKO

Mwenyezi Mungu atusaidie sanaa
asante sana dk... walau umenisaidia kupunguza mawazo 🙏🙏🙏
 
• Giza lipi mkuu? 🤔
• mkuu, Una disability yeyote kimwili ambayo itasababisha ushindwe kufanya Baadhi ya shughuli za kujipatia angalau kipato?

Jaribu kuweka pembeni elimu yako uliyosomea, fanya shughuli nyingine za kawaida...


MSONGO WA MAWAZO UKIZIDI KWENYE IDARA YA KICHWA, NI HATARI SANA...
sina disability yoyote... even now mimi ni dereva wa Bodaboda kupitia UBER ama Bolt.... hivyo mimi ni mpambanaji sana... ila future yangu siioni kabisa​
 
Mimi niseme kitu hapa,

Jaribu kuwafikiria hao watoto watatu utakao waacha bila mtu (baba) umejaribu kuwaza Hilo...??!

Hiyo Hali inawatokea wengi na Wana survive mfano Mimi kichwani nilikua nipo vizuri Sana sijawai kufail na hata hii title ya udocta sio uchwara...

Niweke wazi kwenye hii miaka mi 5 nimekua busy Sana kwenye kompyuta 24/7 kwa siku 365*5 years no likizo no Sunday...

Nikajikuta ule uwezo wangu wa upeo na akili imepungua + loosing appetite ya mambo mengi..

Embu jaribu kwenda hospital mfano ocean roads, Moi, mloganzila kaangalie watu wanavyo pambania uhai wao (utakuja ku realize your wrong)

Jifunze ku """COUNT YOUR BLESSINGS""

NB.
Mwezi mmoja na wiki Sasa niliweka Uzi wangu wa ajari ya kugongwa na gari nikiwa Kama abiria kwenye BODABODA nikavunjika mguu wa kushoto..

Nili enda hospital this week nikafunguliwa P.O.P nikawekewa P.O.P nyingine pia nimeambiwa nianze mazoezi ya kukanyagia

Weight yangu hii 84 na kulala kitandani mwezi mzima bila kujigeuza

Ndio najifunza Tena kusimama na kutembea with CRUTCHES
MHANDO it's not easy Maumivu , pressure za kimaisha Ila mungu Ni mwema ndugu naamin with time ntaweza kusimama Tena na kutake care majukumu yangu..

Unaweza kuona wewe una shida wapo wenye tabu zaidi na shida zaidi YAKO

Mwenyezi Mungu atusaidie sanaa
kwakweli mwenyezi Mungu akupe uponyaji wa haraka... urudi tuendelee kulizungusha gurudumu la maisha
 
Pole sana mkuu. Nimesoma maelezo yako na nadhani wewe unasumbuliwa na depression. Depression ni ugonjwa mbaya sana na uweza kumpata mtu yeyote japokuwa wewe inaonyesha unakuonea tangu ukiwa mdogo. Hii pengine ni kutokana na familia (kurithi) kwani kuna watu wako vulnerable kwa huu ugonjwa kuliko wengine. Kuna mtu mmoja nilisikia akihojiwa kuhusu huu ugonjwa akawa anasema aliupata na muda wote alikuwa anatamani kufa wakati aliwahi kuugua sana kansa na alikuwa anatamani kuendelea kuishi. Ugonjwa wa depression hufanya mtu kukata tamaa kabisa kabisa, kutokuwa na raha na hata vile vitu ambavyo alikuwa vinampa burudani anakuwa havipendi. Ushauri wangu kwako ni uende hospital inayoaminika uonane na dr bingwa umwelezee shida yako. Kuna dawa na therapies za kuweza kukuondoa kwenye hiyo hali na baadae ukawa na furaha kama zamani.
shukrani sana nitaufanyia kazi ushauri wako...!
 
Wala hata usihofu mkuu, hafi mtu hapq, unataka uende wap na maisha haya magumu umuachie nani? Uwakimbie Wanao wakabak kuteseka pekee yao ?

We kunywa maji mengi relax. Hufi wala nink japo chamoto unakiona ila kufa sio leo wala kesho. Nakuhakikishia mwaka huu unautoboa vyedi kabisaa.

JUst back to drawing board, plan and plan and plan.
Nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom