Nahisi uchovu sana kila nikinywa konyagi, shida nini?

Nani akufuate bar kupiga mizinga, nyie mkishalewa huwa hamjitambui. Mnaanza kutukana wake zenu, watoto wenu mnawapa shida sana
Sijawahi kumtumkana mke wala mwanangu tena naipenda familia yangu kuliko chochote mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…