Hahahaaaa we jamaa upo 'serious' kweli au unachangamsha kijiwe tu[emoji23]Nishanyooka ila sikomi
Sawa Nenga wa jeiefuSura yangu ya uhalisia nina fanana na Billnass mkuu hebu vuta picha hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia isiwe unauziwa GONGO Mkuu.Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Acha kujidai mlevi wa kishua we cha muhimu ulewe kula gongo manIle nasikia inakausha damu nakuzeesha mkuu naiogopa