Acha ulevi kabla hujachelewa.Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Yesu ndiye dawa ya huo uraibu, ukimpokea yote hayo yatakwisha na hamu ya pombe itabaki historia.Ukishakua mraibu ni ngumu kuacha kuna watu mpaka jasho linanuka pombe achilia mbali mkojo, kinyesi N.k
Njoo kwa Yesu sasa, upate uponyaji bure.Home Kwa wazazi ni Sumbawanga nilienda hadi Kwa mganga huko Namanyere ila niache pombe nikachanjwakabisa ila naona kama nazidisha
[emoji23][emoji23][emoji23] et vipolo vya ugali sawa mkuuUnatakiwa mkuu kabla ya kuanza kuishusha unatupia foundation ya kitimoto au sato mkubwaa ndio unaanza kunywa na kama walivyosema wenzangu hapo juu, kama unakula viporo vya ugali achana na hiyo kitu itakuua.
Umenitisha mkuu [emoji3064]CHOMA MAINI.
muhimbili hawana huruma kama hela hauna
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
MAJI/ICE CUBE NA NDIMUTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
muhimbili ukifa kama una deni WANA BAKI NA WEWE.MPAKA UWALIPEUmenitisha mkuu [emoji3064]