Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Hii comment inanishawishi nianze kunywahujui utamu wa pombe wewe
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii comment inanishawishi nianze kunywahujui utamu wa pombe wewe
Sio lazima uende sehemu moja kila siku
Kama mtu wa mazoezi hili linajulikana
Kama uko karibu na bahari ni sehemu nzuri ya kupumzika
Kama kuna sehemu ya kukutana na marafiki kama hotel pia sio njia mbaya ya kukutana
Sio kuwa napingana na wanywaji wa pombe la hasha kwani kila mmoja anaamua sehemu ya kupumzika
Ila mimi sio mnywaji wa pombe na mda mwingine wa kupumzika ninakuwa nyumbani
ahhahaaa ungejua huyo jamaa yuko njemaHuna hela kaa kimya...
Ila mwanaume wa kukaa sana nyumbani naye anachosha sana mkuu! Ni kma mwanamke wa kukaa ndani tu hana idea hata kidg anavyochosha naye!
Raha ya mwanaume unasafir kiasi..hukai sana hom unakaa ndani mwishow utaanza fanana na sebule yako[emoji2960]!
Mimi napenda mwanaume anayerudi sa1,2 amebeba zawadi na mahitaj ya hom! Sio unarudi mamikono matupu na lilaptop lako hata kubeba tikiti tu huwezi[emoji2960]!
Yaani uwe na mishe mishe nyingi nyingi ukifika ukioga ule ulale usisumbue mkeo[emoji2223][emoji2223]! Mwanaume anayeshinda shinda hom bas hakawii kunanii! Ah natania tu rafiki angu!
Nataniaa
Drink beer save waterhujui utamu wa pombe wewe
Nakukaribisha uunge mkoni juhudi za furaha za kundi hili.Habari ya leo wakuu.
Binafsi kwa bahati mbaya sijaanza kuunga juhudi za kunywa pombe.
Lakini huwa napenda sana kwenda maeneo ya BAR, PUB NA HOTEL.
Nikifika maeno haya huwa naagiza soda nyama choma na maji nikimaliza basi mdogo msogo najikunyata nasepa home.
Lakini huwa naona ni tofauti na majilani zangu wenye kinywaji kama K-VANT, SERENGETI, KONYAGI NA VINGINEVYO.
Kundi hili huonekana lenye furaha, bashasha na matumaini mapya ya maisha kuliko wafanywa soda.
Pia ni watu wenye upendo utakuta round zinazunguka na mhudumu anakaribishwa kuunga hoja, kitu ambacho sie wa soda hatuna tabia ya kukaribisha wahudumu.
Pia kundi hili lina umoja.
Mmoja ataagiza nyama, mwingine maji, mwingine nyama ili mradi meza iwe na bashasha na stori zao hunoga lakini sie wasoda huwa kama tumenyeshewa na mvua kabisa.
Uzuri wa maeneo ya bar.
Hata katika mandhari ya kawaida mazingira, eneo la vinywaji bila bia huwa la kawaida na halina bashasha nyingi, lakini maeneo ya bar kila kitu full, eneo zuri, mziki mzuro,wahudumu na kila kitu kimepangiliwa vzr sana.
KWA UTAFITI HUO MDOGO NAHISI KUNDI HILI LA WAPIGA MAJI NI LENYE FURAHA ZAIDI KULIKO KUNDI LA SODA NA JUICE.
😅😅..inaboa balaa..khaaHa ha ha ha utani wenye ukweli ndani yake.
Anawabana huwezi hata kuteta umbea na jilani[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji28][emoji28][emoji28]Mimi ni nani hata nimbishie katibu![emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa hivyo ndio vitu,vyenyewe.
Huna hela kaa kimya...
Utawaonea huruma asubuhi yake wanavokuwa wagonjwa kabisa.Habari ya leo wakuu.
Binafsi kwa bahati mbaya sijaanza kuunga juhudi za kunywa pombe.
Lakini huwa napenda sana kwenda maeneo ya BAR, PUB NA HOTEL.
Nikifika maeno haya huwa naagiza soda nyama choma na maji nikimaliza basi mdogo msogo najikunyata nasepa home.
Lakini huwa naona ni tofauti na majilani zangu wenye kinywaji kama K-VANT, SERENGETI, KONYAGI NA VINGINEVYO.
Kundi hili huonekana lenye furaha, bashasha na matumaini mapya ya maisha kuliko wafanywa soda.
Pia ni watu wenye upendo utakuta round zinazunguka na mhudumu anakaribishwa kuunga hoja, kitu ambacho sie wa soda hatuna tabia ya kukaribisha wahudumu.
Pia kundi hili lina umoja.
Mmoja ataagiza nyama, mwingine maji, mwingine nyama ili mradi meza iwe na bashasha na stori zao hunoga lakini sie wasoda huwa kama tumenyeshewa na mvua kabisa.
Uzuri wa maeneo ya bar.
Hata katika mandhari ya kawaida mazingira, eneo la vinywaji bila bia huwa la kawaida na halina bashasha nyingi, lakini maeneo ya bar kila kitu full, eneo zuri, mziki mzuro,wahudumu na kila kitu kimepangiliwa vzr sana.
KWA UTAFITI HUO MDOGO NAHISI KUNDI HILI LA WAPIGA MAJI NI LENYE FURAHA ZAIDI KULIKO KUNDI LA SODA NA JUICE.
Ila mwanaume wa kukaa sana nyumbani naye anachosha sana mkuu! Ni kma mwanamke wa kukaa ndani tu hana idea hata kidg anavyochosha naye!
Raha ya mwanaume unasafir kiasi..hukai sana hom unakaa ndani mwishow utaanza fanana na sebule yako[emoji2960]!
Mimi napenda mwanaume anayerudi sa1,2 amebeba zawadi na mahitaj ya hom! Sio unarudi mamikono matupu na lilaptop lako hata kubeba tikiti tu huwezi[emoji2960]!
Yaani uwe na mishe mishe nyingi nyingi ukifika ukioga ule ulale usisumbue mkeo[emoji2223][emoji2223]! Mwanaume anayeshinda shinda hom bas hakawii kunanii! Ah natania tu rafiki angu!
Nataniaa