Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

Kizungumkuti
 
Bi khadija ngoja nkafanye research kwa hawa uliowataja kwanza afu nakuja kukushauri
 
Nafikiri sasa ni wakati wanasayansi waruhusiwe kutengeneza designer babies (genetically engineered babies) ili watu walio poor socially kama huyu dada wapate wenza atleast wanaohisi wanawafaa.. nakuhakikishia "if u won't settle for less u won't settle at all"... dunia hii hakuna aliye kamilika na elimu yako hiyo by now ulitakiwa ulijue hilo, sijui huko mashule mnafanyaga manini? Kujifunza ni pamoja na kujifunza maisha, ungekua umejifunza maisha ungekua unajua kwamba lugha ya kingereza anayozungumza mwanaume haina uhusiano wowote na maisha mnayotaka kuanza pamoja.. Umesoma lakini bado ujinga mwingi...

Kwenye list yako pia ongeza, mwanaume asiyeogopa kukwambia ukweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hao wanaume wote ulio wataja kwenye thread yako ndio walitakiwa wawe wako wote maana wana sifa zote unazo zitaka,
Alafu sio mara ya kwanza kusikia wanawake wakilalamika hawataki marafiki wa kike kwa kasoro walizo nazo,
Na wengine ukiwauliza wanakwambia wana marafiki wa kiume tu sababu marafiki wa kike hawaeleweki, huo ni uhuni,
Urafiki ni chemistry nzuri mtakayo ijenga kutokana na attitude mlizo nazo, kutaka marafiki wa kiume sababu wa kike hawaeleweki, it's not a strong reason, ni kuendekeza uhuni tu,
 
Nyundo ya mdomo [emoji123][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]
 
Hili ni shairi/Poem sio Thread.
 
nmechelewa first seat ya huu uzi...ilitakiwa nikae kwa frontiers mbele kabisaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asee kwa hiyo sisi wengine huoni michango yetu kweli? Zero iq vipi huoni, bas ata Ndege John
 
innalilaaaaah wainalilaah rajun.................Bi khadija,jinaa lenye maana kubwa.ramathan karim..........
 
Nisome na mm basi Kama nafaa niambie elimu yangu darasa la saba, English ya kuombea maji
 
Wewe kwa nini hunijui?
 
Nyie ndo wale kwenu baba zenu waliweka tangazo nje..
HATARI KUNA MBWA MKALI!

Sasa muda umetembea mmeweka bango nje TUNAUZA ICE CREAM hapa..

Utasubiri sanaaaa

Bando ni langu sio lazima uelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…