Inafanyaje kazi na ni gharama kiasi gani kwa hivi visima vya pump?Desalination ni kwa maji ya bahari na ni very expensive kama ulivosema
Huku kwetu Reverse Osmosis system inatosha awaone Davis and Shirtliff wanazo
Hiyo chlorine unaidumbukiza kwenye tank la maji auClorine itamaliza hilo tatizo
Watabe wa hizo kazi ndio mtuelezee sasa, hizo njia ni zipi na gharama zake zipoje?Sidhani kama kuna kitu cha kutia mara moja kwenye kisima ili kuondoa chumvi, kwa sababu maji ya chini ya ardhi kuwa na chumvi huo ni mchakato wa asili, hivyo maji ya kisima huwa na chumvi kutokana na jografia ya eneo husika(aina miamba/kuwa karibu na mwambao wa bahari/sababu nyingine..)
Mchakato wa kuondosha chumvi kwenye maji, ni kwa maji yenyewe baada ya kutoka kisimani, ila sio kwa kisima na maji yaliyomo maana huko ni kupingana na jografia, kitu ambacho ni muhali.
Hivyo zipo njia za kutumia vifaa maalumu ili kuyachuja maji kuondosha chumvi.
Wacheki hawa jamaa kwa maelezo zaidi sema zipo mini RO kwa laki naneInafanyaje kazi na ni gharama kiasi gani kwa hivi visima vya pump?
Knowledge au technology?Mwenyewe natafuta hiyo solution japo wanadai SUA Wana hiyo knowledge
Huyu jamaa wa kuitwa Mshana Jr ni Bure kabisa,Kila kitu anakijua ila Kwa wenye uelewa mkubwa tulishamshitukia,Hana analolijua ,ni mweupe kabisa,sijajua kiwango Chake Cha elimu,maana njia aliyoitoa ni SoMo la chemistry kidato Cha kwanza.Chumvi ni sodium chloride(maana yake Kuna chlorine) Kisha unaongeza chlorine. Unajua matokeo yake?
Wewe ndo umenena, nyingine bla bla tu, ila ongeza nyama kdogoSidhani kama kuna kitu cha kutia mara moja kwenye kisima ili kuondoa chumvi, kwa sababu maji ya chini ya ardhi kuwa na chumvi huo ni mchakato wa asili, hivyo maji ya kisima huwa na chumvi kutokana na jografia ya eneo husika(aina miamba/kuwa karibu na mwambao wa bahari/sababu nyingine..)
Mchakato wa kuondosha chumvi kwenye maji, ni kwa maji yenyewe baada ya kutoka kisimani, ila sio kwa kisima na maji yaliyomo maana huko ni kupingana na jografia, kitu ambacho ni muhali.
Hivyo zipo njia za kutumia vifaa maalumu ili kuyachuja maji kuondosha chumvi.
Hapana hakuna dawa ya kuondoka chumvi.Reverse Osmosis mashine ndio teknolojia inayotumika kwa Sasa.Wataalamu kwema jamani, hivi kuna dawa ya kuondoa chumvi kwenye kisima cha maji?
Kwahyo kuna njia za kuondoa chumvi maji yakiwa kwenye tank?Sidhani kama kuna kitu cha kutia mara moja kwenye kisima ili kuondoa chumvi, kwa sababu maji ya chini ya ardhi kuwa na chumvi huo ni mchakato wa asili, hivyo maji ya kisima huwa na chumvi kutokana na jografia ya eneo husika(aina miamba/kuwa karibu na mwambao wa bahari/sababu nyingine..)
Mchakato wa kuondosha chumvi kwenye maji, ni kwa maji yenyewe baada ya kutoka kisimani, ila sio kwa kisima na maji yaliyomo maana huko ni kupingana na jografia, kitu ambacho ni muhali.
Hivyo zipo njia za kutumia vifaa maalumu ili kuyachuja maji kuondosha chumvi.
Inauzwa wapinunua mashine inaitwa reverse osmosis, kutoa chumvi kwenye maji sio kazi rahisi.
Inauzwa wapi
Ndio unayaunganisha na mfumo wa kuyachuja( filter/ membrane) ambapo mara nyingi huwa ni mashine ndogo au kubwa kulingana na matumiziKwahyo kuna njia za kuondoa chumvi maji yakiwa kwenye tank?