Nahitaji dawa ya kuondoa chumvi kwenye kisima cha maji

Nahitaji dawa ya kuondoa chumvi kwenye kisima cha maji

Huyu jamaa wa kuitwa Mshana Jr ni Bure kabisa,Kila kitu anakijua ila Kwa wenye uelewa mkubwa tulishamshitukia,Hana analolijua ,ni mweupe kabisa,sijajua kiwango Chake Cha elimu,maana njia aliyoitoa ni SoMo la chemistry kidato Cha kwanza.

Kwa mtu yeyote aliyekomea japo kdato Cha pili lazima atajua hii kitu siyo
Don't get too personal.
Kama amekosea, si unmsahihisha tu? Yanini kumkandia mtu namna hiyo?
 
Back
Top Bottom