Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Hili jambo na mm linanisumbua katika muundo huu
Naunganisha round, naweza fika had tatu non stop
Uume unasimama hadi unaniletea maumivu
Show time ndio zimeshanishinda, labda usiku mzima

Msaada tafadhari[emoji120][emoji120]
Hatujatofautiana kabisa mkuu
 
Mkuu Natafuta Ajira hiyo 'ngufu' ndo ajira yenyewe, itumie kutafuna majimama hutojuta.
Hapana mkuu siwezi kufanya iyo kama ajira kuna magonjwa na pia namweshimu sana mpenzi wangu., anyway unaweza ukanipa mwongozo hao majimama viwanja vyao vipo wapi na mbinu za kuwapata?
 
Acha mawazo ya ngono, fanya mazoezi sana, Chukulia kuwa ngono ni kitu cha kawaida, labda kama inasimama kutwa, lakini kama ni nguvu za kitandani hizo si mpaka uwe kitandani na mpenzi?
 
Acha mawazo ya ngono, fanya mazoezi sana, Chukulia kuwa ngono ni kitu cha kawaida, labda kama inasimama kutwa, lakini kama ni nguvu za kitandani hizo si mpaka uwe kitandani na mpenzi?
Mawazo ya ngono kusema kweli sina kabisa na pia muda wa kufanya mazoezi nakosa maana sina ajira rasmi ni kutoka asubuhi kutafuta vibarua vya deiwaka na kurudi usiku nimechoka sana moja kwa moja kulala ila sasa ndo nikikutana na mwenzangu tu yaan hapo angalao masaa matano mfululizo yanahitajika tatizo mwenzangu ndo hawezi kwenda masafa marefu kiasi hicho mpaka namuonea huruma kwaiyo inabidi niishie tu njiani
 
Acha kuzuga...ulinipiga kibutu kwenye mtongozo wangu huko pm au niweke hadhari ulivyo nijibu🤣🤣🤣🤣
Kweli mrembo? Kesho man city inatoa over 2.5?
Mkuu naomba link ya group la kubet whatsapp au telegram la members kuntu tu wazee wa kupiga chabo mikeka ya watu tu siwataki
 
Dunia inatabu hii wengine wanalia mkongo kupigwa marufuku wewe unakuja na tangazo la kuumiza roho
 
Mleta mada mm dawa ninayo tena ya mizimu ila endapo huna nguvu za kuchakata mbususu kama usemavyo basi itabidi ugeuzwe wewe maana utakuwa umesumbua mizimu.
 
Em kwenda zako. Yaani mimi niwe mwasherati kama wewe?
ndio maana usingekuwa mwasherati ungekuwa ulisha ni ignore 🤣 🤣 🤣
wee njoo bwana tupeane utamu. mie nipo tayarikukuwowa mrembo. kwani mahari bei gani? njoo pm tuyazungumze
 
Back
Top Bottom