Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Mleta mada mm dawa ninayo tena ya mizimu ila endapo huna nguvu za kuchakata mbususu kama usemavyo basi itabidi ugeuzwe wewe maana utakuwa umesumbua mizimu.
Nitashukuru sana ukinisaidia iyo dawa niondokane na changamoto yangu
 
Mwenzako nimeanza jitihada za kumkabidhi yesu maisha yangu ila ww ndo kwanza unataka 3bomba aisee
 
ndio maana usingekuwa mwasherati ungekuwa ulisha ni ignore [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
wee njoo bwana tupeane utamu. mie nipo tayarikukuwowa mrembo. kwani mahari bei gani? njoo pm tuyazungumze
Siku ignore nipo hapa kukukumbumbusha uache uasherati. Sawa umenielewa?
 
Marufuku kupiga honi ifadhini.

Marufuku Kusema hii ni chai.

Marufuku Kusema shule zimeshafungwa.
 
Story zake zinakuwaga tamu sana.
Tena umenikumbusha ngoja nimtafute besty yangu Kelsea aje anipe story matata ya mbususu na de libolo
Kwahiyo na kukuambia kote uache uasherati bado unaulizia story za mbususu?
 
Kwahiyo na kukuambia kote uache uasherati bado unaulizia story za mbususu?
Sasa wewe unaishia sema eti acha uasherati lakini hunipi njia zipi nitumie ili nifanikishe....there has to be an action plan
 
Haha mkuu umenichekesha kinyama kesho vipi una time na uko town ilulu mziki mnene by e fm Lazima tukashangae kdg dada zetu wa kimwera wakijaa uwanjani.nitakuwepo pembeni kdg bar flan mitaa ya magereza huku.
Mkuu Mimi nipo Dar es salaam Kwa sasa😅
 
Back
Top Bottom