Nahitaji dawa ya kupunguza nguvu za kiume

Hilo sio tatizo kabisa,
Kwa kuwa unasimamisha pale unapokuwa n mwenzio, ni suala la maamuzi tu. Ingekuwa tatizo kama unapotembea barabarani mzigo unasimama!!!
Kwa hiyo ukiwa na mwenzio jizoeze kuridhika, ni ngumu sana kushindana na ulikotoka!!!
 
Hilo sio tatizo kabisa,
Kwa kuwa unasimamisha pale unapokuwa n mwenzio, ni suala la maamuzi tu. Ingekuwa tatizo kama unapotembea barabarani mzigo unasimama!!!
Kwa hiyo ukiwa na mwenzio jizoeze kuridhika, ni ngumu sana kushindana na ulikotoka!!!
Sawa mkuu
 
Hacha ujinga komaa na maisha mwisho wa ngono sembe ni magonjwa na ukimwi.
 
Nishakuambia nimeokoka πŸ˜‚
Kwa hiyo na wewe umemfuata to yeye....dah sasa jamani kuokoka huku kumetokana na huyu tall dark and handsome mpya ama?
Na mie nipelekeni huko wanapo okoka
 
Kwa hiyo na wewe umemfuata to yeye....dah sasa jamani kuokoka huku kumetokana na huyu tall dark and handsome mpya ama?
Na mie nipelekeni huko wanapo okoka
πŸ˜‚πŸ˜‚ Ndio , baby ni mlokole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…