Kupungua mwili sio tatizo kbs.....kudumu katika lifestyle ambayo mwili unapungua au unabaki constant ndo ishu....unaweza kuanza mazoezi lakini jiulize,je utafanya mazoezi maisha yako yote?watu wengi hawajui kwamba ukitaka upungue mwili cha kwanza na muhimu ni diet..hakikisha una style yako ya kula ambayo itapunguza mwili au kuuacha ulipo kwa zaid ya miaka na miaka....mazoezi kwa nyie wanawake wa kibongo kwenu ni km mateso tu..maji,mboga za majani,protini +wanga mdg +kuachana na tv+kazi ndogo ndogo umefua,umepika,umeenda sokoni kwa miguu,ukitoka kazini badala ya kupandia kituo cha karibu unatembea hadi kinachofuata,umerud umedeki nyumba nzima..be productive sio tu utapungua lakini utakuwa na mood mzuri.....sio chips kuku+jf mda wote+tamthilia+beki tatu