Nahitaji diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi

Nahitaji diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi

[emoji1] [emoji1]
Hakakujui kabisa..wewe ndiye unakajua tu.
[emoji23] [emoji23] ni kweli mpangaji sio lazima amjue mwenye nyumba ila mwenye nyumba kumjua mpangaji lazima[emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] ni kweli mpangaji sio lazima amjue mwenye nyumba ila mwenye nyumba kumjua mpangaji lazima[emoji125] [emoji125]
Wapangaji wengine vimbelembele ukiwa mgeni utajua nyumba yake.
 
Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.

Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
matembele ni diet tosha,, kama unakula tembele unanenepa basi acha tu usihangaike utajiumiza bure.
 
i
Ni kweli kbsa maji ya vuguvugu yanasaidia sana na results unaziona kbsa. Mimi nilishawahi kutumia maji vuguvugu na nikapungua kwa kweli.
lla saivi mwili umerudi ka awali?
 
sikuzote ka unadhamira ya kufanya jambo lazima ulifanyie utafiti wa kina, mfano nini chanzo cha kitambi? ukishajua ndo waanzisha vita na kisababishi, nikushauri hebu jaribu kula vyakula ambavyo havisababishi umwagaji wa insulini kwa wingi then epuka vyakula vinavyohifadhiwa katika mfumo wa mafuta baada ya mmeng'enyo wa mwisho.
 
Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi Maana diet nyingi utasikia asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.

Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
Vipi kitambi hakijaisha bado?
 
Back
Top Bottom