Diet nzur n kupunguza chakula hasa cha usiku kama unaweza kula matunda na mboga za majan usiku pamoja na maji au juice ila chondochonde punguza vyakula vya maguta ikiwemo nazi na nyama nyama mchana kula chakula wastan asubuhi kunywa chai tupu au kitu kingn ila sio kiporo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] conclusion ya kizembe. Nimejikuta tu naukumbuka huu uzi wanguChukua mdalasini chemsha na maji then ukishakolea epua na subiri upoe kidogo weka asali kunywa unaweza weka na kahawa kuongeza msukumo wa damu...
Mnyambulisho....
1. Mdalasini huu utumika kuongeza speed ya digestion mwilini so chakula kinakua hakikai sana mwilini kinasepa....hii ukufanya kusikia njaa...
2. Asali hii hufanya mwili kuwa na glucose nyingi hvyo kuwa na nguvu na kutosikia njaa hata baada ya mdalasini kufanya yake tumboni....
3. Maji ya moto yanacreate ile digestion temperature mwilini hvyo kuweka mwili katika umeng'enywaji wa chakula cha ziada mwilini kama fat na mengineyo kuwa active all the time...
Sasa chukua mchanganyiko huo tumia na utaona kazi yake....
Hizo ndio akili zangu finyu zilivyonieleza kila kazi ya mchanganyiko huo baada ya kuvitumia na mwisho nikaona why nisijaribu kimojakimoja kuona ufanyaji wake kazi mwisho nkaja na conclusion hyo ya kizembe.....labda wataalamu waje watudadavulie zaidi...
Ila cha kuongeza lazima uwe mtu wa mazoezi kiasi sio unakaa kwenye gari muda wote utegemee kitambi kisepe....
Nawasilisha....
anza na kutokula mlo mzito usiku kama wali ugali machapati n.k badala yake kula vitu vya asili au matunda na kwa kiasi kidogo tu sio unakula mpaka ukilala chali unahisi kama kuna mtu kalala juu kumbe mivyakula imekaa kifuani...Hivi jamani hakunaga diet simple kwa sie wenye kupunguza vitambi?
Maana diet nyingi utasikia
'Asubuhi kunywa fresh juice ya appe sijui tikiti, mchana kula kuku au samaki,Jioni anataja vikorokoro akina sie hata hatuvijui.
Hivi jaman hakunaga diet ya sie wala matembele?
Mkuu asante ila siku zote huo ndio utaratibu wangu. Huwa sili jioni vyakula hivyoanza na kutokula mlo mzito usiku kama wali ugali machapati n.k badala yake kula vitu vya asili au matunda na kwa kiasi kidogo tu sio unakula mpaka ukilala chali unahisi kama kuna mtu kalala juu kumbe mivyakula imekaa kifuani...
ukishapunguza kula usiku vyakula vizito..
dili na maji ya vugu vugu kila asubuhi kunywa nusu lita kwa kuanzia na mchana kula chakula chochote lakini usile kama mwanzo..yani kama mwanzo ulikuwa unakula tonge mia sasa hivi fanya tonge sabini tu hapo utapungua taratibu....ukijifanya kutaka kupungua haraka utashindwa ..lazima uanze taratibu ili iwe tabia yako....
siri ya wenye vitambi ni kula sana tu ..
Si kweli...vyakula vya afya ni cheap uki compare na vyakula visivyo na afya...prove me wrongukiwa unafanya diet unatakiwa ureplace unhealthy food na healthy ones!na healthy foods sio cheap labda uwe na bustani yako ya mboga na matunda!
Vipi mkuu ilifanikiwa kupungua ni miaka mitatu sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] conclusion ya kizembe. Nimejikuta tu naukumbuka huu uzi wangu
Vipi mkuu ilifanikiwa kupungua ni miaka mitatu sasa
Asante mkuu nimekusomaKupungua mwili sio tatizo kbs.....kudumu katika lifestyle ambayo mwili unapungua au unabaki constant ndo ishu....unaweza kuanza mazoezi lakini jiulize,je utafanya mazoezi maisha yako yote?watu wengi hawajui kwamba ukitaka upungue mwili cha kwanza na muhimu ni diet..hakikisha una style yako ya kula ambayo itapunguza mwili au kuuacha ulipo kwa zaid ya miaka na miaka....mazoezi kwa nyie wanawake wa kibongo kwenu ni km mateso tu..maji,mboga za majani,protini +wanga mdg +kuachana na tv+kazi ndogo ndogo umefua,umepika,umeenda sokoni kwa miguu,ukitoka kazini badala ya kupandia kituo cha karibu unatembea hadi kinachofuata,umerud umedeki nyumba nzima..be productive sio tu utapungua lakini utakuwa na mood mzuri.....sio chips kuku+jf mda wote+tamthilia+beki tatu
Mwenza hujaona matunda yangu pm? Mwenzio nishakata 5kgs kwa kutokula usiku.[emoji23] [emoji23] [emoji23] nina madeni chungu nzima
Sitaki kuamini umeshindwa mwenza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nije nikusimulie[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] acha kabisa..kisa cha kufa?
Mkuu maisha yangu yooote sijawahi kuishi na msaidizi wa kazi za ndani...si nyumbani kwa wazazi, nilikokulia wala kwangu kwa hiyo kama kazi za nyumbani ni zoezi ningekuwa kamodoTena ukiweza kutembea tembea, na msipende kudeke kwa kusimama, piga deki na dekio (tambara) ni mazoez mazuri sana,
Mimi huwa naacha mop pemben nainamisha mgongo wangu nadekii kote labda kama uvunguni sifikii nitapeleka mop hizi za wenzetu.
Mazoez madogo madogo yanasaidia pia