Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukilinganisha na wenye pesa mkuuYaani mil30 ndo unaita tuhela!
Hapana banaukilinganisha na wenye pesa mkuu
naomba mchanganuo mkuu mpaka kodiStarlet itakufaa kwa pesa hiyo
Nishauri kidogo mkuu sijui chochote kuhusu magari mkuukuna hiyo ila simjui lakini naona kaweka number zake.Itakufaa hiyo mkuu.View attachment 874877
Hata uwepo wa honi kwenye gari hujui?Nishauri kidogo mkuu sijui chochote kuhusu magari mkuu
sijui chochote mkuu ndio naanza kuwaza magari baada ya kuvuna na kupata bei nzuriHata uwepo wa honi kwenye gari hujui?
kwamba afanye nini sasaIla kama hujui lote kwenye gari basi achana na wazo kumiliki gari
Mkuu kwa hiyo roho yako Mungu akusaidieIla kama hujui lote kwenye gari basi achana na wazo kumiliki gari
kwani amekuambia anataka kufanya biashara ya magari mkuuAchana na magari fanya biashara ingne
kaka kuna nyuzi nyingi humu kuhusu magari unaweza kupitia moja badala ya nyingine kisha ukawacheki baadhi ya member P.M kama akina mshana na wengineo utapat msaada.Wadau ninahitaji gari ya kutembelea ya juu nina tuhela nimepata baada ya kuuza kiazi, naomba ushauri maana mimi ni mweupe sana kwenye ujuaji wa magari ila napenda vitu vizuri licha ya kuwa mimi ni mkulima
Kwani mmi nimesema afanye biashara ya magari?kwani amekuambia anataka kufanya biashara ya magari mkuu
Shukrani mkuu wangukwani amekuambia anataka kufanya biashara ya magari mkuu
Shukrani Mkuu ila nyuzi ni nyingi mnoo si rahisi kuzipitia zote hususani sisi wakulimakaka kuna nyuzi nyingi humu kuhusu magari unaweza kupitia moja badala ya nyingine kisha ukawacheki baadhi ya member P.M kama akina mshana na wengineo utapat msaada.
Nishauri kidogo mkuu sijui chochote kuhusu magari mkuu