kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Ungekua ni mtu wa magari ningekwambia uchukua BMW X3 Mnyama hatari sana, ila kama sio mzoefu wa magari chukua harrier 2.5.Wadau ninahitaji gari ya kutembelea ya juu nina tuhela nimepata baada ya kuuza kiazi, naomba ushauri maana mimi ni mweupe sana kwenye ujuaji wa magari ila napenda vitu vizuri licha ya kuwa mimi ni mkulima