born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Acha kusumbua watu hapasijui chochote mkuu ndio naanza kuwaza magari baada ya kuvuna na kupata bei nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kusumbua watu hapasijui chochote mkuu ndio naanza kuwaza magari baada ya kuvuna na kupata bei nzuri
Uko vizuri.X3 inahitaji mtu ambaye kutoa Milioni 2 kwa ajiri ya repair hashangai, pia ni gari zinazohitaji uelewa wa magari ili uwezo kuenjoy, mfano ukienda kwa fundi kama sio mtu wa magari atakupa ushauri wa kitoyota toyota wakati wewe umeenda na BMW X3, Kuna gari nyingi za Europe zimebadilishwa mifumo yake kwa sababu ya mafundi uchwara wengi.
Nunua Toyota Vanguard au Rav4 kama Vanguard (2005/6). Hapo utapata kila kitu kwa wewe mgeni na magari.Wadau ninahitaji gari ya kutembelea ya juu nina tuhela nimepata baada ya kuuza kiazi, naomba ushauri maana mimi ni mweupe sana kwenye ujuaji wa magari ila napenda vitu vizuri licha ya kuwa mimi ni mkulima