- Thread starter
- #41
Mkuu mbona unatoa povu kwani ni lazima uandike? acha roho mbaya mkuu.Acha uvivu.
Sasa unataka watu warudie mada mara tatu tatu kwa ajili yako kwani unawalipa?
Kwa nini unataka watu wakutumikie bila juhudi yoyote toka kwako?
Usipofanya juhudi ya kujua ni aina gani ya gari unahitaji, kwa matumizi yapi, kwa barabara zipi na hali ipi ya hewa..hiyo gari itageuka janga.