Habari ndugu, kama kichwa Cha tangazo kilivyoandikwa nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba -Dar hivyo nahitaji watu wa kushirikiana nao kupata soko, dagaa ni rejareja kwenye packet au kwa jumla pia wanapatikana kuanzia ndoo ya lita 10 mpk 20, hivyo kwa ambae yupo tayari especially women, but not necessarily naomba tusaidiane kusongesha maisha kupitia dagaa, NB, mtaji Kila kitu kipo ishu soko tu kwa mawasiliano nichek, 0674115095. Karibuni kwa maoni pia bandugu.