Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na, Police force and auxiliary service Act, Wildlife Preservation Act, Peoples militia Act, Prevention and Combating of Corruption Act, Police General Order, Tanzania Intelligence and Security Service Act, Military Court Act, Fire and rescue Service Act.Turudi kdg kwenye Katiba ya TZ, kwa mujibu wa Katiba ya TZ polisi ni Wanajeshi, hapo unasemaje Kaka?
Yani mgambo?Mishahara yake haitofautiani sana na ya Jeshi la Akiba
Katiba ya Tz ipo hivyo ila ukienda huko duniani polisi si jeshi bali ni security agencyTurudi kdg kwenye Katiba ya TZ, kwa mujibu wa Katiba ya TZ polisi ni Wanajeshi, hapo unasemaje Kaka?
Tunafuata Katiba ya Tanzania au ya Duniani? Simon Siro ni Mwanajeshi Kama alivyo Venance Mabeho. Iko hivoKatiba ya Tz ipo hivyo ila ukienda huko duniani polisi si jeshi bali ni security agency
Kwann unaishiwa nguvuNikiskia hawa watu mwili unaniisha nguvu
hahahahaKuna malupulupuu ya kukagua mitungi ya gesi kwenye maduka ..ukikaza hukosi lunch (jokes)
Ushauri wangu kama una vigezo omba ukipata ingia ukikosa endelea na chuo.Sorry lakin je mishahara Yao ikoje maana nataka nisimamishe masomo ya chuo kwa ajiri ya hiyo kazi Sasa ndio nataka ni bet
Huwezi kulinganisha na mgambo usimdanganye dogo muache aombe.Mishahara yake haitofautiani sana na ya Jeshi la Akiba
Are the same.Mfano hata Katiba yetu ya mwaka 1977 na marekebisho yake imesema mwanajeshi ni Askari yoyote kutoka JWTZ,PT,MT nk.Jf ni uwanja wa elimu.Ngoja nikupe elimu.
Askari wa magereza,uhamiaji,zimamoto hao wote si askari polisi ijapokuwa kazi yao inaendana na ya polisi(Law enforcement).Kulingana kwa majina ya vyeo haimanishi hizi ni idara zinazoendana,nchi kama South Africa,polisi hutumia vyeo vya kijeshi(Luteni,capt,kanali...)sasa hapa utasema kisa polisi wanatumia ranks za kijeshi nao waitwe Miltary?
Police officers,correction officers,firefighters,immigration officers are not the same.
Samaki ana mengi ya kusema tatizo majiKwann unaishiwa nguvu
Kama una vigezo omba usikate tamaa.Samaki ana mengi ya kusema tatizo maji
Diploma 570k degree 720k udaktari degree anaenda mpaka 1.8m na engeneer...Mishahara ya Tasisi za Kijeshi kama hii ZT hutofautiana kulingana na elimu ya Askari,mfano unaweza kukuta shahada ya udaktari PT anakinga 1.5 na stashahada akakinga 900k.
Ni hayo tu.
Engineer mwenye level gn mkuu ndo anachkua 1.8m?bachelor auDiploma 570k degree 720k udaktari degree anaenda mpaka 1.8m na engeneer...
Bachelor.Engineer mwenye level gn mkuu ndo anachkua 1.8m?bachelor au
Vipi upande wa magereza mkuu, wenye fani (degree) mfano kilimo?Diploma 570k degree 720k udaktari degree anaenda mpaka 1.8m na engeneer...
Mishahara ya Tasisi za Kijeshi kama hii ZT hutofautiana kulingana na elimu ya Askari,mfano unaweza kukuta shahada ya udaktari PT anakinga 1.5 na stashahada akakinga 900k.
Ni hayo tu.