bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Labda mtafundishwa kutoa huduma ya kwanza under pressureSawa Sawa....nauliza zimamoto wametaka watu wenye certificates vipi ukitaka kujiendeleza kielimu mfano mtu wa maabara/ daktari akitaka kujiendeleza wanaruhusu..?? Na hao watu wa afya wanafanya kazi kivipi yan kuna hospitali kama ilivo magereza na polisi au ipoje hiii...
Maana nahisi team inatakiwa ikamilike mkiingia mzigoni mnakua kama SEAL TEAM.