jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
Je kukopa mikopo inaruhusiwa baada ya mda gani ..Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ni Jeshi lililo wizara ya mambo ya ndani sawa na polisi,magereza na uhamiaji hivyo majeshi haya yote mishahara ya na posho vinafanana na kusoma ni mpaka umalize miaka mitatu kazini.