AlexanderAlex1
New Member
- Nov 13, 2021
- 3
- 0
Sisi wengine naona tujaribu mwaka mwingine au vipi Dah hii nchi hiiKwa walioombea dar usaili tearii umeshafanyika na taarifa iliopo zimamoto kozi wanaenda January
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wengine naona tujaribu mwaka mwingine au vipi Dah hii nchi hiiKwa walioombea dar usaili tearii umeshafanyika na taarifa iliopo zimamoto kozi wanaenda January
Sisi wengine naona tujaribu mwaka mwingine au vipi Dah hii nchi hii
Mim jana nmepigiwa simu niende kwenye usahili makao makuu dodoma tarh 25
Mim jana nmepigiwa simu niende kwenye usahili makao makuu dodoma tarh 25
Yap.. utaratibu ni kwamba wanapiga simu na majina pia watatoa maana wengine sometimes wanakuwa hawako hewani, the same kama walivyofanya Immigration walitoa majina then wakapiga simuMim jana nmepigiwa simu niende kwenye usahili makao makuu dodoma tarh 25
Form 6Uliomba kwa level gan ya elimu
wizara ya mambo ya ndani imebaki mikeka miwili ya usaili, FIRE pamoja na PRISONS, ila kwa wale waioomba MAKAO MAKUU tu, ambapo wanaitwa before december
Mkeka wa fire tayarUna uhakika wataitwa before December.????
bila shaka ushaanza kujionea ZT, bado MT tuUna uhakika wataitwa before December.????
bila shaka ushaanza kujionea ZT, bado MT tu
Habari mkuu, hivi ulipataga hizo post #Uhamiaji / #Fire maana nahitaji kujua kwa mtu wa Diploma analipwaje #Fire ?Ila niliomba kazi zote mbili magereza pamoja na idara ya uhamiaji ngoja nisubirie kama ita tike