Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu jeshi la zimamoto kwa ambaye ana fahamu

Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu jeshi la zimamoto kwa ambaye ana fahamu

lets wait
Screenshot_20211120-103940.jpg
 
Mim jana nmepigiwa simu niende kwenye usahili makao makuu dodoma tarh 25
Yap.. utaratibu ni kwamba wanapiga simu na majina pia watatoa maana wengine sometimes wanakuwa hawako hewani, the same kama walivyofanya Immigration walitoa majina then wakapiga simu
 
wizara ya mambo ya ndani imebaki mikeka miwili ya usaili, FIRE pamoja na PRISONS, ila kwa wale waioomba MAKAO MAKUU tu, ambapo wanaitwa before december
 
wizara ya mambo ya ndani imebaki mikeka miwili ya usaili, FIRE pamoja na PRISONS, ila kwa wale waioomba MAKAO MAKUU tu, ambapo wanaitwa before december

Una uhakika wataitwa before December.????
 
Ila niliomba kazi zote mbili magereza pamoja na idara ya uhamiaji ngoja nisubirie kama ita tike
Habari mkuu, hivi ulipataga hizo post #Uhamiaji / #Fire maana nahitaji kujua kwa mtu wa Diploma analipwaje #Fire ?
 
Back
Top Bottom