Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Kuruta
private
Las koplo
Koplo
Sajent
Staff Sajent
Major
Luteni Usu
Luteni
Captain
.......kanali
kanali
nk................
 
Kuruta
private
Las koplo
Koplo
Sajent
Staff Sajent
Major
Luteni Usu
Luteni
Captain
.......kanali
kanali
nk................
1. Private (pte)
2. Lase koplo
3. Koplo (cpl)
3. Sergeant (sgt)
4. Staff Sergeant (ssgt)
5. Warranty officer daraja la 2 (woII)
6. Warranty officer daraja la 1 (woI)
7. Luteni wa pili ( Znd LT)
8. Luteni wa kwanza (LT)
9. Captain (CAPT)
10. Major (Maj)
11. Luteni kanal (LT Col)
12. Kanal (col)
13. Bridgedia general (Brig gen)
14. Major general ( maj gen)
15. Luten general (lt gen)
16. General (Gen)
 
Nashukuru kwa muongozo uliotukuka mkuu
 

Baadhi wanaweza kuhisi kwenye maelezo yako kuwa ume puyanga ,binafsi nnaamini katikati ya maelezo yako upo ukweli kiasi fulani hivi.

Shukrani.
 
Haya majukumu ya kila cheo
 
Jiulize kwanini opozit kuna kile kiospitali ukiingilia ttcl
 
Nimesoma Kizuka TPDF nawajua vizuri sana hawa hakuna ulipo eleza uongo
 
Hamna hata mtu yeyote mwenye msaada.Ni bora mkae kimya Kuliko kujaza mavi yenu humu.
Shida ya Watanzania wanajifanya wanajua kila kitu lakini kumbe ni zero brain hakuna mtu mwenye anajua ,, ila watajifanya wanajua , na watajificha kwenye mgongo wa sector nyeti,, na ukiwa mbumbumbu humu Jf bila kuchanganua mambo utajikuta unabeba kila wazo na akili ya mtu ...
 
Umeseme ukweli.mtupu jamaa yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…