Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Sikia jeshini unaingia ki vyovyote kulingana na ulicho somea au unataka kusomea nini ukiwa huko we ingia tu.

Kuruta hana cheo km hana kisomo yeye ni usafi tu.kufyeka kuosha vyoo!!

Lkn kwa bunduki na mbinu za kivita humtoi anajua kutumia bunduki na kukwepa risasi si kawaida.

copro pia ivo ivo!! Kuna kopro msomi na asiyesoma.
Mpaka huko juu wako ivoivo... Unaweza kuta full canal ameipata ajili ya shule kubwa mfano

daktari bingwa km chambuso....Lugoe. Ma fish Hawa walipata ivo vyeo ajili ya shule zao kubwa lkn pia course za kijeshi monduli lazima upitie miezi tisa.

Na zitarudiwa km itahitajika hawa ni muhimu pia ktk logistic za kijeshi....mkiwa mstari wa mbele mnahitaji
madaktari.
ma linguistic.
Engineers.
Wahasibu.
waalimu wa siasa jeshini yaani kila fani. Na hawa wote wapate mafunzo kamili ya kijeshi
Mfano Hosp. inaweza vamiwa na adui any time lazima dr aweke sindano pembeni apambane kwanza akimaliza arudie sindano zake.

Ivo ivo kwa kada nyingine jeshini pia.na haya.... haya fanyiki wkt wa vita tu hata wkt wa amani.

km lugalo Hosp.ile ina hadhi zaidi ya MNH.Ndipo viongozi wakuu km mkapa.amina chifupa nk hufia hasa kipindi km hiki cha covid.

ndo maana hata migomo ikitokea Muhimbili haiathiri saana utendaji wa serikali.kuna wajeda kibao mle ndani lkn km raia tu.

Univesity of Dsm robo tatu ya wahadhiri wa ngazi za juu ni wajeda. Tena makomandoo Wana subili teuzi.

Si unaona migomo imepungua
Yaani ukijishebedua utakuta wafuasi wako wengi ni makomandoo wajeda utapotea kirahisi sana. Hutasikika tena.ukijifanya kugoma pale.

Hosp zote za Mikoa wilaya wale ni makomandoo!

Ukianzia na Temeke Hosp Dr Malima ni komandoo hatari.... lile jicho si bahati mbaya aliumia wkt wa mafunzo.

Ukimuangalia sana hata tembea yake ni ya kikomandoo!!Habughuziwi saana na wizara ya afya wanamjua fika. Hata baraza la Madaktari siku hizi wamejaa huko. Sector zooote ziko hivo.isipokuwa private sector ni wachache kule wana ajiliwa km part time lkn wana yao.....

Hawa wako mpaka hukooo Mahurunga kati ya msumbiji na bongo....ukileta za kuleta wanakiwasha dakika sifuri....wanasawazisha.

Hata Rais ujipange vizuri kufanya yaliyo sawa....ukijifanya jiwe wanasawazisha halafu kimya .utapotea tu! Km alivopotea jiwe!

Mzanaki aliisuka hasa nchi ikasukika kenya hawaoni ndani. Huko Al shaabab robo ni watanzania tena wasomi hasa. Ni kufa kupona wanakamatwa sana lkn yanaishi hivi hivi....

Salim kikeke Bbc ni mmoja wao hao....ntarudi..
 
Sikia jeshini unaingia ki vyovyote kulingana na ulicho somea au unataka kusomea nini ukiwa huko we ingia tu.

Kuruta hana cheo km hana kisomo yeye ni usafi tu.kufyeka kuosha vyoo!!

Lkn kwa bunduki na mbinu za kivita humtoi anajua kutumia bunduki na kukwepa risasi si kawaida.

copro pia ivo ivo!! Kuna kopro msomi na asiyesoma.
Mpaka huko juu wako ivoivo... Unaweza kuta full canal ameipata ajili ya shule kubwa mfano

daktari bingwa km chambuso....Lugoe. Ma fish Hawa walipata ivo vyeo ajili ya shule zao kubwa lkn pia course za kijeshi monduli lazima upitie miezi tisa.

Na zitarudiwa km itahitajika hawa ni muhimu pia ktk logistic za kijeshi....mkiwa mstari wa mbele mnahitaji
madaktari.
ma linguistic.
Engineers.
Wahasibu.
waalimu wa siasa jeshini yaani kila fani. Na hawa wote wapate mafunzo kamili ya kijeshi
Mfano Hosp. inaweza vamiwa na adui any time lazima dr aweke sindano pembeni apambane kwanza akimaliza arudie sindano zake.

Ivo ivo kwa kada nyingine jeshini pia.na haya.... haya fanyiki wkt wa vita tu hata wkt wa amani.

km lugalo Hosp.ile ina hadhi zaidi ya MNH.Ndipo viongozi wakuu km mkapa.amina chifupa nk hufia hasa kipindi km hiki cha covid.

ndo maana hata migomo ikitokea Muhimbili haiathiri saana utendaji wa serikali.kuna wajeda kibao mle ndani lkn km raia tu.

Univesity of Dsm robo tatu ya wahadhiri wa ngazi za juu ni wajeda. Tena makomandoo Wana subili teuzi.

Si unaona migomo imepungua
Yaani ukijishebedua utakuta wafuasi wako wengi ni makomandoo wajeda utapotea kirahisi sana. Hutasikika tena.ukijifanya kugoma pale.

Hosp zote za Mikoa wilaya wale ni makomandoo!

Ukianzia na Temeke Hosp Dr Malima ni komandoo hatari.... lile jicho si bahati mbaya aliumia wkt wa mafunzo.

Ukimuangalia sana hata tembea yake ni ya kikomandoo!!Habughuziwi saana na wizara ya afya wanamjua fika. Hata baraza la Madaktari siku hizi wamejaa huko. Sector zooote ziko hivo.isipokuwa private sector ni wachache kule wana ajiliwa km part time lkn wana yao.....

Hawa wako mpaka hukooo Mahurunga kati ya msumbiji na bongo....ukileta za kuleta wanakiwasha dakika sifuri....wanasawazisha.

Hata Rais ujipange vizuri kufanya yaliyo sawa....ukijifanya jiwe wanasawazisha halafu kimya .utapotea tu! Km alivopotea jiwe!

Mzanaki aliisuka hasa nchi ikasukika kenya hawaoni ndani. Huko Al shaabab robo ni watanzania tena wasomi hasa. Ni kufa kupona wanakamatwa sana lkn yanaishi hivi hivi....

Salim kikeke Bbc ni mmoja wao hao....ntarudi..
Maelezo yoooote yamekaa vema Sana ulipokosea ni kusema jiwe alipotezwa na Hawa watu.

Nooo.
 
Maelezo yoooote yamekaa vema Sana ulipokosea ni kusema jiwe alipotezwa na Hawa watu.

Nooo.
Heeee!! Wee dogo bana jiangalie sana!! Sikia ..Jiwe siyo mjeda yule hata jkt alikuwa mafunzo ya kawaida sana...kule ndani ya jkt kuna kambi nyingine tena maalumu inaitwa HQ, hawa wana mafunzo Maalum. Tofauti na wengine wote!! Ikiwa ni pamoja na

kulenga shabaha tu kila siku!! Sasa hawa ndo wajeda maalum ajili ya kazi maalum juu ya maadili ya viongozi Maalumu wenye hila mbovu na...

tamaa na
katili.
wakiukaji wa viapo,
wasio na mipaka.
wasaliti Wa nchi.
Wakurupukaji km vichaa.

utakutana na hii red brigade Si utani....hawa hawarudiga nyuma..wao ni daima mbele.si unamjua kolimba lkn?? Haya...

Huyu jiwe ni wazi alitaka kuleta vitamaa flani flani hivi vya upendeleo wa wazi km
kwao!!
Na kukaa sana madarakani.
Kuwaponda watangulizi wake tena basi raia anamponda mjeda.wakati jeshi linakulinda.... weee!

Haya yoote na mengine wote mnajua humu. Hawa jamaa kamwe hawatakuacha salama. Si unaona mwanajeshi jk aliachia urais kiubweeete!! Alijua muziki wake.

Lkn jiwe alijitengenezea mazingira ya kuendelea kudumu.

Na yule kijana Msiba ni shushu wa jeshi miaka mingi tunamjua fika alikuwa anakwenda nae sambamba tu bila jiwe kujua..

Si unaona sasa hivi Msiba yuko Wapi??....yupo katikati mle Lugalo juu... km mjeda wa kawaida sana. anakula bata brigadier mess akivaa kombati utamjua?? Hata humsogelei...

Jiwe alitaka kubomoa misingi aliyoweka Baba wa taifa aunde nchi upya.. Anavojua yeye...alisahau kuwa yeye ni raia tu....kuna watu humo wamekula viapo kuilinda hiyo misingi...mpaka kifo!!

Sikia Ambao wangeweza japo kidooogo na kwa uchache ni...

Abdulrahman Kinana...
Mzee wa Msoga....
Makamba Mkubwa..
Cap.John komba nk..

Si unaona!! Kina kinana Walimsema wakijua ata jua kuwa wanamsema wao kwani walitikisika.....zaidi jiwe akawaomba kwenye campeni. Sababu alikumbana na visiki hatari akawa mpole.

Lkn huyu jiwe huyu.... Pwiiii!! Anamkashfu Mjeda kabisa kikwete Monduli graduants mchana kweupeee bila hata aibu... thubutuuuu....sijui alikuwa jkt ya wapi?? Ambao hawakujua kumfundisha nidhamu.....

Nadhani alikuwa serure wa kudumu yule. Jkt mnafundishwa nidhamu na uvumilivu ambao jiwe hakuwa nao...

gwaji boy nae huyu atakikimbia chama soon!!... Walio mwambia agombee ccm walijua anataka urais sasa changa la macho hawezi pata hiyo nafasi ajili alimkashfu kiongozi mkubwa...anaiga Iga tu ndo kapigwa kitu sasa amekaa topeni...alimkashfu mnene!! Sasa utaona km atarudi bungeni tena safari ijayo... Mungu alisema " tiini Mamlaka"..ndo kifungu watakacho tumia kumpigia... Umeelewa sasa au unaona nyota *****/^^^^....********
 
Heeee!! Wee dogo bana jiangalie sana!! Sikia ..Jiwe siyo mjeda yule hata jkt alikuwa mafunzo ya kawaida sana...kule ndani ya jkt kuna kambi nyingine tena maalumu inaitwa HQ, hawa wana mafunzo Maalum. Tofauti na wengine wote!! Ikiwa ni pamoja na

kulenga shabaha tu kila siku!! Sasa hawa ndo wajeda maalum ajili ya kazi maalum juu ya maadili ya viongozi Maalumu wenye hila mbovu na...

tamaa na
katili.
wakiukaji wa viapo,
wasio na mipaka.
wasaliti Wa nchi.
Wakurupukaji km vichaa.

utakutana na hii red brigade Si utani....hawa hawarudiga nyuma..wao ni daima mbele.si unamjua kolimba lkn?? Haya...

Huyu jiwe ni wazi alitaka kuleta vitamaa flani flani hivi vya upendeleo wa wazi km
kwao!!
Na kukaa sana madarakani.
Kuwaponda watangulizi wake tena basi raia anamponda mjeda.wakati jeshi linakulinda.... weee!

Haya yoote na mengine wote mnajua humu. Hawa jamaa kamwe hawatakuacha salama. Si unaona mwanajeshi jk aliachia urais kiubweeete!! Alijua muziki wake.

Lkn jiwe alijitengenezea mazingira ya kuendelea kudumu.

Na yule kijana Msiba ni shushu wa jeshi miaka mingi tunamjua fika alikuwa anakwenda nae sambamba tu bila jiwe kujua..

Si unaona sasa hivi Msiba yuko Wapi??....yupo katikati mle Lugalo juu... km mjeda wa kawaida sana. anakula bata brigadier mess akivaa kombati utamjua?? Hata humsogelei...

Jiwe alitaka kubomoa misingi aliyoweka Baba wa taifa aunde nchi upya.. Anavojua yeye...alisahau kuwa yeye ni raia tu....kuna watu humo wamekula viapo kuilinda hiyo misingi...mpaka kifo!!

Sikia Ambao wangeweza japo kidooogo na kwa uchache ni...

Abdulrahman Kinana...
Mzee wa Msoga....
Makamba Mkubwa..
Cap.John komba nk..

Si unaona!! Kina kinana Walimsema wakijua ata jua kuwa wanamsema wao kwani walitikisika.....zaidi jiwe akawaomba kwenye campeni. Sababu alikumbana na visiki hatari akawa mpole.

Lkn huyu jiwe huyu.... Pwiiii!! Anamkashfu Mjeda kabisa kikwete Monduli graduants mchana kweupeee bila hata aibu... thubutuuuu....sijui alikuwa jkt ya wapi?? Ambao hawakujua kumfundisha nidhamu.....

Nadhani alikuwa serure wa kudumu yule. Jkt mnafundishwa nidhamu na uvumilivu ambao jiwe hakuwa nao...

gwaji boy nae huyu atakikimbia chama soon!!... Walio mwambia agombee ccm walijua anataka urais sasa changa la macho hawezi pata hiyo nafasi ajili alimkashfu kiongozi mkubwa...anaiga Iga tu ndo kapigwa kitu sasa amekaa topeni...alimkashfu mnene!! Sasa utaona km atarudi bungeni tena safari ijayo... Mungu alisema " tiini Mamlaka"..ndo kifungu watakacho tumia kumpigia... Umeelewa sasa au unaona nyota *****/^^^^....********
Naona nyota kabisa..*****:'****!#!#!#..

Hata sijui Kama umeniambia ukweli au umenidanganya.

Any way hayo ni Mambo yenu nyie mashetani wenye ulimwengu wenu sisi raia wa kawaida tulimuona jiwe mwokozi wetu kwenye vitu vingi sana.
 
Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?

Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Jeshini hakuna utaratibu maalumu kwamba wewe ukiwa na cheo fulani basi kazi zako ni kadhaa, kwa mfano kuna jamaa wawili nawafahamu mmoja ni kanali na mwingine ni major, hawa wote kazi zao zilikuwa kumlinda rais yani kuhakikisha Rais yupo salama na majukumu yao yalikuwa yanahusisha kazi zifuatazo
1.kupokea wageni wa rais
2.kuandaa safari za Rais
3.kumfuata Rais kila anapoenda
Na wakati askari wengine wenye vyeo hivo kazi zao ni ku deal na ma file so mtu asikudanganye kwamba jeshini kila cheo kina jukumu maalumu
 
Heeee!! Wee dogo bana jiangalie sana!! Sikia ..Jiwe siyo mjeda yule hata jkt alikuwa mafunzo ya kawaida sana...kule ndani ya jkt kuna kambi nyingine tena maalumu inaitwa HQ, hawa wana mafunzo Maalum. Tofauti na wengine wote!! Ikiwa ni pamoja na

kulenga shabaha tu kila siku!! Sasa hawa ndo wajeda maalum ajili ya kazi maalum juu ya maadili ya viongozi Maalumu wenye hila mbovu na...

tamaa na
katili.
wakiukaji wa viapo,
wasio na mipaka.
wasaliti Wa nchi.
Wakurupukaji km vichaa.

utakutana na hii red brigade Si utani....hawa hawarudiga nyuma..wao ni daima mbele.si unamjua kolimba lkn?? Haya...

Huyu jiwe ni wazi alitaka kuleta vitamaa flani flani hivi vya upendeleo wa wazi km
kwao!!
Na kukaa sana madarakani.
Kuwaponda watangulizi wake tena basi raia anamponda mjeda.wakati jeshi linakulinda.... weee!

Haya yoote na mengine wote mnajua humu. Hawa jamaa kamwe hawatakuacha salama. Si unaona mwanajeshi jk aliachia urais kiubweeete!! Alijua muziki wake.

Lkn jiwe alijitengenezea mazingira ya kuendelea kudumu.

Na yule kijana Msiba ni shushu wa jeshi miaka mingi tunamjua fika alikuwa anakwenda nae sambamba tu bila jiwe kujua..

Si unaona sasa hivi Msiba yuko Wapi??....yupo katikati mle Lugalo juu... km mjeda wa kawaida sana. anakula bata brigadier mess akivaa kombati utamjua?? Hata humsogelei...

Jiwe alitaka kubomoa misingi aliyoweka Baba wa taifa aunde nchi upya.. Anavojua yeye...alisahau kuwa yeye ni raia tu....kuna watu humo wamekula viapo kuilinda hiyo misingi...mpaka kifo!!

Sikia Ambao wangeweza japo kidooogo na kwa uchache ni...

Abdulrahman Kinana...
Mzee wa Msoga....
Makamba Mkubwa..
Cap.John komba nk..

Si unaona!! Kina kinana Walimsema wakijua ata jua kuwa wanamsema wao kwani walitikisika.....zaidi jiwe akawaomba kwenye campeni. Sababu alikumbana na visiki hatari akawa mpole.

Lkn huyu jiwe huyu.... Pwiiii!! Anamkashfu Mjeda kabisa kikwete Monduli graduants mchana kweupeee bila hata aibu... thubutuuuu....sijui alikuwa jkt ya wapi?? Ambao hawakujua kumfundisha nidhamu.....

Nadhani alikuwa serure wa kudumu yule. Jkt mnafundishwa nidhamu na uvumilivu ambao jiwe hakuwa nao...

gwaji boy nae huyu atakikimbia chama soon!!... Walio mwambia agombee ccm walijua anataka urais sasa changa la macho hawezi pata hiyo nafasi ajili alimkashfu kiongozi mkubwa...anaiga Iga tu ndo kapigwa kitu sasa amekaa topeni...alimkashfu mnene!! Sasa utaona km atarudi bungeni tena safari ijayo... Mungu alisema " tiini Mamlaka"..ndo kifungu watakacho tumia kumpigia... Umeelewa sasa au unaona nyota *****/^^^^....********
Lieutenant umemwagika 😂
 
Sikia jeshini unaingia ki vyovyote kulingana na ulicho somea au unataka kusomea nini ukiwa huko we ingia tu.

Kuruta hana cheo km hana kisomo yeye ni usafi tu.kufyeka kuosha vyoo!!

Lkn kwa bunduki na mbinu za kivita humtoi anajua kutumia bunduki na kukwepa risasi si kawaida.

copro pia ivo ivo!! Kuna kopro msomi na asiyesoma.
Mpaka huko juu wako ivoivo... Unaweza kuta full canal ameipata ajili ya shule kubwa mfano

daktari bingwa km chambuso....Lugoe. Ma fish Hawa walipata ivo vyeo ajili ya shule zao kubwa lkn pia course za kijeshi monduli lazima upitie miezi tisa.

Na zitarudiwa km itahitajika hawa ni muhimu pia ktk logistic za kijeshi....mkiwa mstari wa mbele mnahitaji
madaktari.
ma linguistic.
Engineers.
Wahasibu.
waalimu wa siasa jeshini yaani kila fani. Na hawa wote wapate mafunzo kamili ya kijeshi
Mfano Hosp. inaweza vamiwa na adui any time lazima dr aweke sindano pembeni apambane kwanza akimaliza arudie sindano zake.

Ivo ivo kwa kada nyingine jeshini pia.na haya.... haya fanyiki wkt wa vita tu hata wkt wa amani.

km lugalo Hosp.ile ina hadhi zaidi ya MNH.Ndipo viongozi wakuu km mkapa.amina chifupa nk hufia hasa kipindi km hiki cha covid.

ndo maana hata migomo ikitokea Muhimbili haiathiri saana utendaji wa serikali.kuna wajeda kibao mle ndani lkn km raia tu.

Univesity of Dsm robo tatu ya wahadhiri wa ngazi za juu ni wajeda. Tena makomandoo Wana subili teuzi.

Si unaona migomo imepungua
Yaani ukijishebedua utakuta wafuasi wako wengi ni makomandoo wajeda utapotea kirahisi sana. Hutasikika tena.ukijifanya kugoma pale.

Hosp zote za Mikoa wilaya wale ni makomandoo!

Ukianzia na Temeke Hosp Dr Malima ni komandoo hatari.... lile jicho si bahati mbaya aliumia wkt wa mafunzo.

Ukimuangalia sana hata tembea yake ni ya kikomandoo!!Habughuziwi saana na wizara ya afya wanamjua fika. Hata baraza la Madaktari siku hizi wamejaa huko. Sector zooote ziko hivo.isipokuwa private sector ni wachache kule wana ajiliwa km part time lkn wana yao.....

Hawa wako mpaka hukooo Mahurunga kati ya msumbiji na bongo....ukileta za kuleta wanakiwasha dakika sifuri....wanasawazisha.

Hata Rais ujipange vizuri kufanya yaliyo sawa....ukijifanya jiwe wanasawazisha halafu kimya .utapotea tu! Km alivopotea jiwe!

Mzanaki aliisuka hasa nchi ikasukika kenya hawaoni ndani. Huko Al shaabab robo ni watanzania tena wasomi hasa. Ni kufa kupona wanakamatwa sana lkn yanaishi hivi hivi....

Salim kikeke Bbc ni mmoja wao hao....ntarudi..
Muongo kikuma wewe
 
jibu rahisi sana hili umesima kweli dogi
Kikeke.ana ukomandoo gani
E4q6HZpWQAcKLF4.jpg
 
Jeshini hakuna utaratibu maalumu kwamba wewe ukiwa na cheo fulani basi kazi zako ni kadhaa, kwa mfano kuna jamaa wawili nawafahamu mmoja ni kanali na mwingine ni major, hawa wote kazi zao zilikuwa kumlinda rais yani kuhakikisha Rais yupo salama na majukumu yao yalikuwa yanahusisha kazi zifuatazo
1.kupokea wageni wa rais
2.kuandaa safari za Rais
3.kumfuata Rais kila anapoenda
Na wakati askari wengine wenye vyeo hivo kazi zao ni ku deal na ma file so mtu asikudanganye kwamba jeshini kila cheo kina jukumu maalumu
Hao kanali na meja hawako kikosini mkuu.lengo langu ni kutaka kujua mfano kuruta kila siku a anaamka anaingia kazini,anapokuwa mazingira ya kazini majukumu yake ni yapi daily
 
Hao kanali na meja hawako kikosini mkuu.lengo langu ni kutaka kujua mfano kuruta kila siku a anaamka anaingia kazini,anapokuwa mazingira ya kazini majukumu yake ni yapi daily
Kikosini sina hakika sana ila from what i know, Jeshi lina kazi nyingi hakuna specific mfano juzi ilisambaa video jamaa kapewa kazi ya kulinda nguruwe huko kikosini yani ndio kazi yake ya kila siku so ki ufupi hutopata jibu unalotaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom