Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Heri ya nini? Hapa jamaa ameomba job descriptions za wanajeshi tu. Hajataka kujua wanafanyaje kazi zao na mbinu zao. Tumekuwa wasiri hata kwa vitu visivyotakiwa kuwa siri, kuwa mtunza siri ni pamoja na kujua kipi ufiche kipi uweke wazi. Ukisema unaficha vyote ni ukanjanja, hujui muhimu kipi. Unaipata glasnost?
Hongera na asante
 
Ndio maana sijamuelewa

Sababu jeshini vikosini huwa kuna Ofisi ya IO na huwa ni afisa kabisa wa kamisheni ,yaani IO wa kikosi kabisa sasa na ninavyojua hawa IO wanaripoti kwa CDF end product yao inaishia kwa CDF

Sijamuelewa aliposema hao IO watafanya yao kama CDF atalazimisha mambo Ilihali kwa ufahamu wangu mdogo wa hayo mambo najua hao IO wa jeshini ni wako chini ya CDF
Kuna hao Agents au Undercover kwa kifupi Intelligence officer wengi wao ni TISS
 
Tanzania kuna aina mbili za Intelligence organization,ya kwanza CI ya pili MI , ina maana wewe wamaanisha MI wanaripoti sehemu mbili yaani Ofisi ya rais na kwa CDF ?

Anaripoti kwa CDF, kuna walio chini ya CDF wanaripoti kivyeo kwa CDF ila wapo chini ya ofisi ya rais kiutendaji,..... Unajua maana ya undercover?
 
Mm nitakuelekeza yote kwa niaba ya watu wengine wajue humu ndani hakuna mtu anae nijua mm humu mana mm nipo kwenye iyo kazi nitakuelekeza yote ujue mdogo wangu nipo kwenye iki chombo tokea mwaka 2001 na nimeingia nikiwa na umri wa miaka 16 tuu nimeona mengi na nimeshuhudia mengi mno nitakueleleza ujue majukumu yao tuu vitu vingine sito visema ila nitasema kuhusu majukumu yao tu.

Naanza na vyeo vya maaskari.

Private (aka shati tupu)
Huyu hana ni askari ambae ametoka mafunzoni mda si mrefu ili awe askari kamili anafanya coz inaitwa level 3 hi coz akifanya ndo upewa na kuruhusiwa kufanya fatiki za kijeshi na hii level 3 ni coz ya miezi mi 3 tu akimaliza hii coz sasa ndo upewa majukumu kama yafuatayo itategemea na kikosi ambacho yupo na command ambayo yupo command namanisha matawi haya ya jwtz na izi branch zipo 5 ya kwanza Makao makuu,ya pili Nyika ya tatu Wanamaji Navy,ya Nne Anga ya tano Jeshi la kujenga taifa private majukumu yake makubwa ni
Kulinda,kufyeka,kufanya usafi wa kikosi kwenda mission mbali mbali ambazo ni ndogo ndogo,kama ana professional mfano ya kuendesha gari bac ataendesha gari za jeshi ila lazima aende coz ya kujifunza kuendesha gari za jeshi ila private kazi yake kubwa ni kulinda guard bac iyo ndo kazi yake kubwa...

Lance Copro.(V moja)
Huyu majukumu yake ni kulinda na kuwangalia maprivate cheo iki mara nyingi uwa ni cha upendeleo tuu.

Copro(V mbili)
Huyu ndo kila kitu jeshi majukumu yake ni kutoa mafunzo kwa maafisa kutoa mafunzo kwa askari makuruti kulinda pia huyu anakuwa ana section nyingi sana za kupiganisha vitani huyu ni kama kiungo jeshini...

Sargent( V tatu)
Huyu kazi yake kubwa ni kufundisha,kulinda,kufanya shughuri ndogo ndogo pia kutoa amri kwa askari walio chini yake ni afande mzuri sana huyu

Staff sargent(bibi na bwana na V 3)
Huyu ni sir major huyu ndo mkubwa wa maskari wadogo wadogo wote kazi yake kubwa kuwafanya askari kuwa pamoja kupanga detail za kazi kikosini kuandaa order mbali mbali..

Mteule daraja la kwanza (lisaa korokoro analivaa mkononi)
Huyu kazi yake kubwa ni kuwafanya askari wawe na utulivu kikosini.

Mteure Daraja la pili (lisaa analivaa mkononi lililo na rangi nyekundu limekoza lina bibi na bwana)
Huyu kazi yake kuwa fanya skari wawe na nidhamu na kutoa adhabu mbali mbali kwa maskari watukutu.. iyondo kazi yake kubwa..nitaendelea....
Nikajua wanaenda kupeana update ya mbinu mpya za kijeshi, kusoma jiographia ya mataifa mbalimbali yaliowazunguka, kujua Wanamiliki silaha gani na Kama ikitokea mizozo wakabiliane vipi kumbe wako tu wanasubiri vita kazi kweli kweli
 
Vita havikutumii barua au kukupa ratiba vinakuja lini

Wapiganishaji wa vita inachukua miaka kumtengeneza na sio muda mfupi kama unavyofikiri na ndio maana dunia nzima kuna majeshi yenye idadi ya kutosha ya watu na tena nchi nyingine majeshi ni makubwa sana
Nikajua wanaenda kupeana update ya mbinu mpya za kijeshi, kusoma jiographia ya mataifa mbalimbali yaliowazunguka, kujua Wanamiliki silaha gani na Kama ikitokea mizozo wakabiliane vipi kumbe wako tu wanasubiri vita kazi kweli kweli
 
Nikajua wanaenda kupeana update ya mbinu mpya za kijeshi, kusoma jiographia ya mataifa mbalimbali yaliowazunguka, kujua Wanamiliki silaha gani na Kama ikitokea mizozo wakabiliane vipi kumbe wako tu wanasubiri vita kazi kweli kweli
Wewe mshamba sana boss.
 
Nakuona afande chabrosy .

Safi sana elimisha raia jeshi letu Ni tunu kwa Taifa .
Luteni umeona mwamba huu 😀😀
donlucchese

DSC_3985.JPG
 
Back
Top Bottom