Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Nahitaji kujua kazi maalumu za askari wa kila cheo(JWTZ)

Mkuu ujamuelewa dogo dogo kataka majukumu ya askari wakiwa vikosini na wala sio vitani we umeingia deap sana unavyomueleza kusu platoon mtoa mada aelewi chochote ajui platoo ajui campany ajui section ajui chochote yy mtoa mada kataka kujua kusu kazi wanazofanya askari wa JW wakiwa kwenye vikosi vyao yani majukumu yao ya kila siku yakoje???sasa mm ndo nimemsaidia kwa kumuelewesha majukumu yao ww unaongelea vitu vya ndani sana awezi akakuelewa mtoa Mada.....
Ni kweli mkuu pamoja na kutaka kujua majukumu ya kila siku ya wanajeshi wa vyeo mbalimbali,kuna sehemu pia niliuliza kuhusu ni mpaka askari wa cheo gani anakuwa front line vitani.
 
Ni kweli mkuu pamoja na kutaka kujua majukumu ya kila siku ya wanajeshi wa vyeo mbalimbali,kuna sehemu pia niliuliza kuhusu ni mpaka askari wa cheo gani anakuwa front line vitani.
Hili ni soma la vita ni somo lefu sana hili....
 
Hatakama ana connection ya cdf mwenyewe?au mpaka arudi ukuruta tena wakati nambo ya SM anayo tayari?
Kwani CDF ndo anamuingiza jeshini jeshi ni process mzee wanangalia ukitokea mujibu uwezi ingia mpaka utokee kujitolea au unaweza ingia kama iyo intake yako ya mujibu inafanana na intake ya kujitolea majina na namba apo sana ila ww umetolea mujibu 2012 uko operation sensa let say afu eti uwe na mbuyu ukupiganishie uingie jeshini mwaka 2020 op Melelani haiwezekaniki mana op na no zenu za jkt nitofauti uyo CDF atachemka tuu mana maafande wake wa chini watamkatalia na kumwambia mkuu huyu op yake na no zake ni za muda mrefu tutazibia nafasi watu wengine yani haiwezekaniki protocal na nidhamu za kijeshi zitafuatwa kama CDF atagoma atataka kuforce mana ma IO wapo na watafanya kazi yao nazani nimeeleweka

NB:IO (huyu ni mtu wa usalama jeshini) na huwa yupo pale vetting za kuchukua kuruta wapya zinapo fanyika usaili unavyofanyika nazani nimeeleweka.....
 
Kwani CDF ndo anamuingiza jeshini jeshi ni process mzee wanangalia ukitokea mujibu uwezi ingia mpaka utokee kujitolea au unaweza ingia kama iyo intake yako ya mujibu inafanana na intake ya kujitolea majina na namba apo sana ila ww umetolea mujibu 2012 uko operation sensa let say afu eti uwe na mbuyu ukupiganishie uingie jeshini mwaka 2020 op Melelani haiwezekaniki mana op na no zenu za jkt nitofauti uyo CDF atachemka tuu mana maafande wake wa chini watamkatalia na kumwambia mkuu huyu op yake na no zake ni za muda mrefu tutazibia nafasi watu wengine yani haiwezekaniki protocal na nidhamu za kijeshi zitafuatwa kama CDF atagoma atataka kuforce mana ma IO wapo na watafanya kazi yao nazani nimeeleweka

NB:IO (huyu ni mtu wa usalama jeshini) na huwa yupo pale vetting za kuchukua kuruta wapya zinapo fanyika usaili unavyofanyika nazani nimeeleweka.....
Halafu IO huwa wapo wanaojulikana na wasiojulikana , hivi ni TISS wale ? Maana DMI wanaripoti kwa CDF
 
CMI now days central military intelligence
Ndio maana sijamuelewa

Sababu jeshini vikosini huwa kuna Ofisi ya IO na huwa ni afisa kabisa wa kamisheni ,yaani IO wa kikosi kabisa sasa na ninavyojua hawa IO wanaripoti kwa CDF end product yao inaishia kwa CDF

Sijamuelewa aliposema hao IO watafanya yao kama CDF atalazimisha mambo Ilihali kwa ufahamu wangu mdogo wa hayo mambo najua hao IO wa jeshini ni wako chini ya CDF
 
Ndio maana sijamuelewa

Sababu jeshini vikosini huwa kuna Ofisi ya IO na huwa ni afisa kabisa wa kamisheni ,yaani IO wa kikosi kabisa sasa na ninavyojua hawa IO wanaripoti kwa CDF end product yao inaishia kwa CDF

Sijamuelewa aliposema hao IO watafanya yao kama CDF atalazimisha mambo Ilihali kwa ufahamu wangu mdogo wa hayo mambo najua hao IO wa jeshini ni wako chini ya CDF
Hahahaha una mda gani kwny chombo wewe???Nikukumbushe tuu kuna Ma IO wengine sio makamisheni Officers wapo ma IO ma Copro wapo mpaka ma sargent mzee japo tumezoea kuona Most of namba kumi ni Kamisheni Officers lkn pia sio kila IO yupo Chini ya CDF kuna ma IO wengine wopo kwa ajiri ya AMIRI JESHI MKUU na co CDF Japo CDF yy anajua wapo chini yake lkn kiuhalisia hawapo chini yake ni ma undercover wa AMIRI JESHI MKUU uwezi nielewa hapa na nitaishia hapa hapa....sasa CDF Ajaribu kuingiza mtu ambae hana sifa undercover IO ajue afu uone hatua za kinidhamu zinavyochukuliwa.....
 
Nimeenjoy sana hii mada,ingawaje kuna watu wanabeza sana......Ukitaka kujua hata jeshi la marekani unapewa taarifa pamoja na mataifa mengi tu makubwa.Ila Tanzania mambo tofauti yaani kuuliza habari za jeshi,ni kama unauliza password ya BOT,utatishwa mpaka ukome na wakati wengine hata miaka kumi kazini hawana wanajikuta kama wameliunda wao
 
Ndio maana sijamuelewa

Sababu jeshini vikosini huwa kuna Ofisi ya IO na huwa ni afisa kabisa wa kamisheni ,yaani IO wa kikosi kabisa sasa na ninavyojua hawa IO wanaripoti kwa CDF end product yao inaishia kwa CDF

Sijamuelewa aliposema hao IO watafanya yao kama CDF atalazimisha mambo Ilihali kwa ufahamu wangu mdogo wa hayo mambo najua hao IO wa jeshini ni wako chini ya CDF
Mfumo wa Usalama Jeshini haufanyi kazi hivyo.Na chain of command yake haipo straight kama ilivyo kwa "uniformed officers" wa kawaida

Kuna baadhi ya watu wanaruka baadhi ya ngazi katika kuripoti wanaenda moja kwa moja kwa Namba moja.

Kuna kazi ambazo wanalinda Katiba, kuna ambao wanalinda Taasisi na kuna ambao Wanalinda Jamhuri na kuna wengine wanamlinda Namba moja tu. Na hawa zina "criss cross" kwa madhumuni ya kufanyiana balance of power

Nilishangaa kipindi Fulani kusikia kuna ugomvi mkubwa sana Inspector wa kawaida Polisi kamuwashia moto RPC mzima kwakua aliingilia kesi Fulani ya mauaji(Wanasema alikua anatembea na ushahidi mfukoni wenyewe) ili kuwachomoa majambazi Fulani.

Yule inspector alikua IO wa Polis. Na wenzao huwa hawawapendi sana wakawa wanasema umefika mwisho wake lazima ang'oke ila unajua ilikuaje aliyeng'oka ni RPC na jamaa mpk leo yupo anadunda. Ndo nikajua nguvu zinavyobalance
 
Ndio maana sijamuelewa

Sababu jeshini vikosini huwa kuna Ofisi ya IO na huwa ni afisa kabisa wa kamisheni ,yaani IO wa kikosi kabisa sasa na ninavyojua hawa IO wanaripoti kwa CDF end product yao inaishia kwa CDF

Sijamuelewa aliposema hao IO watafanya yao kama CDF atalazimisha mambo Ilihali kwa ufahamu wangu mdogo wa hayo mambo najua hao IO wa jeshini ni wako chini ya CDF
Hamna hiko kitu Ma IO wengine ni ma koplo tu ila hawapo chini ya CDF, uzuri wa jeshini nidhamu imezingatiwa sana sio kama polisi, kila mtu anamuogopa mwenzake, na unakuta wale ma IO wa jeshi huwa wanaogopana sana kila mtu akimuhisi mwenzake ni IO wa kutoka TISS
 
Hahahaha una mda gani kwny chombo wewe???Nikukumbushe tuu kuna Ma IO wengine sio makamisheni Officers wapo ma IO ma Copro wapo mpaka ma sargent mzee japo tumezoea kuona Most of namba kumi ni Kamisheni Officers lkn pia sio kila IO yupo Chini ya CDF kuna ma IO wengine wopo kwa ajiri ya AMIRI JESHI MKUU na co CDF Japo CDF yy anajua wapo chini yake lkn kiuhalisia hawapo chini yake ni ma undercover wa AMIRI JESHI MKUU uwezi nielewa hapa na nitaishia hapa hapa....sasa CDF Ajaribu kuingiza mtu ambae hana sifa undercover IO ajue afu uone hatua za kinidhamu zinavyochukuliwa.....
Kwanni hao namba kumi wanaoripoti kwa CIC wanaogopwa humo chomboni incase wakifahamika
 
Pole

Kazi zenye viapo mtu akikwambia majukumu yake ni sawa na kutoa siri.
Hivyo basi njia rais ni kwenda sehemu husika wanakupa majibu.
Jamii forum wameshinda kesi yao inayohusu uhuru wa kupeana habari ila tutambue hakuna uhuru usio na mipaka...hata nyumbani kwako kuna vinavyokaa sebuleni na vinavyo kaa chumbani...na mwilini mwako kuna nguo inayovaliwa nje na nyingine ndani...ukienda tofauti jamii itakuona tofauti na tunaishi km jamii na hili ni jukwaa la jamii
Madaktari wanaapa ila tunajua kazi zao.
 
Mkuu wa Intelijensia ya jeshi anaripoti kwa nani ?
Hamna hiko kitu Ma IO wengine ni ma koplo tu ila hawapo chini ya CDF, uzuri wa jeshini nidhamu imezingatiwa sana sio kama polisi, kila mtu anamuogopa mwenzake, na unakuta wale ma IO wa jeshi huwa wanaogopana sana kila mtu akimuhisi mwenzake ni IO wa kutoka TISS
 
Mkuu ujamuelewa dogo dogo kataka majukumu ya askari wakiwa vikosini na wala sio vitani we umeingia deap sana unavyomueleza kusu platoon mtoa mada aelewi chochote ajui platoo ajui campany ajui section ajui chochote yy mtoa mada kataka kujua kusu kazi wanazofanya askari wa JW wakiwa kwenye vikosi vyao yani majukumu yao ya kila siku yakoje???sasa mm ndo nimemsaidia kwa kumuelewesha majukumu yao ww unaongelea vitu vya ndani sana awezi akakuelewa mtoa Mada.....
Sahihi kabisaaaa mkuu jamaa kaenda zaidi uwanjani.
 
Madaktari wanaapa ila tunajua kazi zao.
Hata wakili ana apa ila shida ni aina ya kiapo..mfano ukijua namna ya kuuperate mfumo wa mawasiliano wa kijeshi si sawa na ukijua mfumo wa mawasiliano wa madakatari. Au ukimjua anaepeleka taarifa za siri za lindo si sawa na ukijua anaepeleka taarifa za wagonjwa hosptali.
Cha msingi tuombe heri.
 
Hata wakili ana apa ila shida ni aina ya kiapo..mfano ukijua namna ya kuuperate mfumo wa mawasiliano wa kijeshi si sawa na ukijua mfumo wa mawasiliano wa madakatari. Au ukimjua anaepeleka taarifa za siri za lindo si sawa na ukijua anaepeleka taarifa za wagonjwa hosptali.
Cha msingi tuombe heri.
Heri ya nini? Hapa jamaa ameomba job descriptions za wanajeshi tu. Hajataka kujua wanafanyaje kazi zao na mbinu zao. Tumekuwa wasiri hata kwa vitu visivyotakiwa kuwa siri, kuwa mtunza siri ni pamoja na kujua kipi ufiche kipi uweke wazi. Ukisema unaficha vyote ni ukanjanja, hujui muhimu kipi. Unaipata glasnost?
 
Back
Top Bottom