curtis jr2
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 770
- 4,618
[emoji92]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mchezo [emoji16][emoji16] ivi hii miamba ipo iliyofikia level ya U Brg. Gen??
kuruta ni askari alyoko mafunzoni(recrut) wale unawaona pale Lugalo wakiwa hawana cheo wanaitwa Private kule polisi wanaitwa constable kule Magereza wanaitwa Wader . Cheo cha kwanza baada ya mafunzo ya ukurufa kuisha kinaitwa private.Hawa ndiyo askari wapiganaji na watapangiwa kazi katika section kulingana na taaluma zao kijeshi. Nikisema section ni kikudi cha askari tisa anayeongoza anakuwa na v mbili anaitwa coploo na yule mwenye v moja anaitwa less coploo akakuwa mwisho kabisa mwa kikundi na anakuwa msaidizi wa coploo ukitaka kujua zaidi nenda depo au mgambo utajifunza.Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?
Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Wanakuwaga wachache sana wanaofikia hiyo level..Siyo mchezo [emoji16][emoji16] ivi hii miamba ipo iliyofikia level ya U Brg. Gen??
Hao jamaa utamu wao wapewe mission zinazofanana na za kigaidi gaidi , yaani wanakuwa kama wanaibukia ibukiaHapo ana uzoefu wa kufa mtu.. ukimpa kikosu uchwara anakitoa mavi
Hapa Baba umepuyanga kweli, Jamaa kamjibu vizuri tu, jukumu la msingi Kuilinda Mipaka ya Nchi huko kufye, ni usafi wa kawaida tu, akatolea mfano, kama yeye anavyofua box yake.Sio kweli .
Kwani nchi zenye Vita wanajeshi wao HAWALINDI?.
amani ya nchi inaanza na wewe SIO JESHI
Hahahanakushauri nenda makao makuu ya jeshi utajibiwa maswali yako yote haya kwa ufasaha zaidi, humu hutapata majibu mazuri sana. ama nenda wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa.
ila watahitaji kujua hasa nia na mazumuni yako ni yapi ukiwajibu na wakalizika watakupa ushirikiano mzuri na vichura viwili vitatu ili ubaki na kumbukumbu nzuri kwa watakayokuelezea.
Hebu elezea mkuuNi washamba tu wanaishi na kasumba za mitaani. Kazi za walinzi wa rais zinafahamika kwa uwazi yaani hivyo ndiyo kusema siri zimetoka? Kuna aliyethubutu kumvamia rais kwa kumdhuru?!
Mleta maada ukitaka kujua kazi ya wajeda jarb kutembelea eneo lao, utaoneshwa vzr kazi zao.Ninahitaji kujua mambo kadhaa yanayohusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na askari wa vyeo tofauti tofauti vya kijeshi.Kuanzia cheo cha chini kabisa mpaka cha mwisho.Namaanisha majukumu ya kila siku.Mfano ukipita lugalo unaweza kuwakuta kuruta wanafyeka nyasi sijui kazi zao ndio za aina hiyo hizo kila siku?
Na katika medani za kivita ni askari wa vyeo gani huwa wanaingia kwenye uwanja wa vita kwa maana ya kushiriki vita na sio wale wapanga mikakati.Nimekuwa nikisikia askari wa kuanzia nyota moja wanakuwa wanaamrisha kikosi cha watu kadhaa.Askari wa nyota mbili nae ana watu kadhaa zaidi ya wa nyota moja.
Hapa Baba umepuyanga kweli, Jamaa kamjibu vizuri tu, jukumu la msingi Kuilinda Mipaka ya Nchi huko kufye, ni usafi wa kawaida tu, akatolea mfano, kama yeye anavyofua box yake.
Unadhani jukumu la msingi la jeshi, haliwezi kufanana jukumu la jeshi lingine.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Movie gani hii mkuuHao jamaa utamu wao wapewe mission zinazofanana na za kigaidi gaidi , yaani wanakuwa kama wanaibukia ibukia
Kama adui wamejikusanya sehemu fulani hao jamaa wapelekwe wakiwa wamejichanganya na raia hiyo kazi baada ya hapo maadui wataelewa mbona
We subiri mtu humu aminywe Kende ndo akili itawakaa sawaPole
Kazi zenye viapo mtu akikwambia majukumu yake ni sawa na kutoa siri.
Hivyo basi njia rais ni kwenda sehemu husika wanakupa majibu.
Jamii forum wameshinda kesi yao inayohusu uhuru wa kupeana habari ila tutambue hakuna uhuru usio na mipaka...hata nyumbani kwako kuna vinavyokaa sebuleni na vinavyo kaa chumbani...na mwilini mwako kuna nguo inayovaliwa nje na nyingine ndani...ukienda tofauti jamii itakuona tofauti na tunaishi km jamii na hili ni jukwaa la jamii
Upo sahihi kabisaHahahaha una mda gani kwny chombo wewe???Nikukumbushe tuu kuna Ma IO wengine sio makamisheni Officers wapo ma IO ma Copro wapo mpaka ma sargent mzee japo tumezoea kuona Most of namba kumi ni Kamisheni Officers lkn pia sio kila IO yupo Chini ya CDF kuna ma IO wengine wopo kwa ajiri ya AMIRI JESHI MKUU na co CDF Japo CDF yy anajua wapo chini yake lkn kiuhalisia hawapo chini yake ni ma undercover wa AMIRI JESHI MKUU uwezi nielewa hapa na nitaishia hapa hapa....sasa CDF Ajaribu kuingiza mtu ambae hana sifa undercover IO ajue afu uone hatua za kinidhamu zinavyochukuliwa.....
Hata polisi majukumu yao yanapangwa kwa kitengo chako sio cheo chako mfano wote mnaweza macpl lkn mmoja akawa trafki, mwengine dereva mwengine ffu
Kwahiyo kamwe huwezi kujua majukumu ya kila cheo jeshini hata wanajeshi wenyewe hawajui
Cpl jkt itende mbeya hawezi kujua majukumu ya cpl comando ngerengere au majukumu ya cpl wa 603 airwing au majukumu ya cpl wa navy
Ukitaka kujua majukumu ya vitengo nenda vikosini kwao ukawaulize, ukitaka kujua majukumu ya kila siku ya commando nenda ngerengere watakwambia ukitaka kujua majukumu ya jeshi la anga nenda aiwing ukitaka kujua majukumu ya jeshi la wanamaji nenda navy ukitaka kujua majukumu ya jkt nenda kikosi cha jkt kilichopo karibu nawe wanakuelezea bila shida yoyote
Ahsante nadhani umeelewa [emoji1317][emoji1317]
Ya kawaida tu kuna watu wameongea zaidi haya post za juu, alafu bongo bhana nchi za watu watu wanajua mengi sn kuhusu jeshi na raia wa kawaida tuHukua na sababu hata moja ya kuandika hivi.
Sioni ulazima wake.
Ungetulia upate dondoo.Halafu unaonekana una akili nzuri kabisa ila una taharuki.Hamna hata mtu yeyote mwenye msaada.Ni bora mkae kimya Kuliko kujaza mavi yenu humu.